Sikujua kama kuna minimum wage ya elfu 70!

SilvaG

Member
Jul 23, 2011
9
0
Fikiri mtu anafanya kazi mashamba ya maua(mengi yapo karibu na mijini) analipwa gross 77,000, net <=68,000
Kodi ya nyumba 20,000 - 25,000/mwezi.
Mafuta ya taa lita 2,200 x?
Sukari kilo 2,800 x?
Mchele kilo 1,800 x ?
Unga kilo 700 x ?
Nyama kilo 5,000 x?(starehe!)
Mafuta ya kupika lita x?
Matibabu?
Shule?
etc x ?

77,000-(matumizi hapo juu)= ?????(tafakari!)
 
je nahili la msichana wa kazi za ndani kulipwa tsh 30.000/ - ,thelathini elfu tu mnalizungumziaje wadau wa jf.
 
je nahili la msichana wa kazi za ndani kulipwa tsh 30.000/ - ,thelathini elfu tu mnalizungumziaje wadau wa jf.
Huyu afadhali maana halipi umeme,nyumba,maji,nk yeye kila kitu tayari.Lakini wa 77,000 tena ARUSHA mmmm wallah tufanye mabadiliko jamani tuwang'oe hawa MAGAMBA
 
Back
Top Bottom