Sikuhonga na simjui mtu lakini nimeitwa uhamiaji

Sikuhonga na simjui mtu lakini nimeitwa uhamiaji

kafanye kazi uliyoitiwa usipokee rushwa hata chembe.... karibu na hongera
 
Una maanisha nini hapo, ulikuwa haustahili?[Uhamiaji ni wala rushwa sana na wanatoa ajira kwa kujuana? Au walifanya bahati nasibu kuchagua?

Kwa mtu anayejiamini uwezo wake hawezi kuja na porojo kama hizi akipata kazi.
 
Hongera sana aiseee

Ila najua soon utakua na bonge la kitambi, chezeya rushwa na marupu rupu ya kule
 
hongera aisee, kafanya kazi hapo bado hujamaliza, heshimu kazi waheshimu utakaowahudumia, Mungu amekupa sasa usiwe kiburi.
 
Nice try... Soon itafahamika pumba ipi na mchele upi.
 
Mnakuja kwa sura nyngne ili kuonesha kua mmetenda haki kumbe uzush mtupu, 1 day itaelewaka kwa mlichotufanyia! Acha kutusanifu ndugu!
 
Inavyooneka kijana hujiamini kabisa,mbona wenzio tulipata TRA katika nafasi ya Custom Officer bila kuhonga wala vimemo?
 
Kuna mdau aliwahi kutaja mtu kimemo cha KAGASHEKI Na kwel aisee yuko ktk yale majina ya ajira, Tz ni noma
 
Ila wakuu ingewezekana vipi watu wote mpate kazi, si lazima kuna ambao wangepata na ambao wangekosa, tusikate tamaa. Kumbuka ulipokosa wewe, ndipo hapo mungu amempa mwanadamu mwenzako ridhiki, kwenye maisha kuna win-loose situation, ni swala la kumshukuru mungu, na kuendelea kupigana.
 
Back
Top Bottom