GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Kweli Dunia hadaa na ulimwengu shujaa, Mfungwa Lengai Ole Sabaya wakati huo akitisha watu kuwafungulia kesi za uhujumu Uchumi aliwategemea mawakili wa serikali watamsaidia kufanikisha jambo
Leo hii mawakili wale wale wa serikali ndio wanahimiza watu kujitokeza zaidi kupeleka ushahidi wa kumpeleka Sabaya kwenye hukumu mpya ukiacha ya miaka 30
Je, Kuna siku hata sisi wana CCM na viongozi wa serikali tutawafuata hao akina Peter Kibatala kutusaidia kutuokoa
Sabaya yule muntu yenye nguvu, Muntu ya watu, Pedesheee la wilaya na alijiona alfa na omega Leo anategemea msaada wa mawakili binafsi
Sabaya Leo hajui Omega yake itakuaje, Akiwa madarakani alijua omega yake ni daima
Mwaka jana mwezi kama huu Sabaya alikuwa anasherekea ushindi na mbunge wake mpya wa ccm, Leo sidhani kama hata huyo mbunge aliyempigania ameenda jela kumuona Sabaya
Ni muhimu wana ccm na viongozi wa serikali tutambue kuna Omega ya haya maisha, Omega ya Sabaya anategemea mawakili binafsi na sio wa serikali tena
Leo hii mawakili wale wale wa serikali ndio wanahimiza watu kujitokeza zaidi kupeleka ushahidi wa kumpeleka Sabaya kwenye hukumu mpya ukiacha ya miaka 30
Je, Kuna siku hata sisi wana CCM na viongozi wa serikali tutawafuata hao akina Peter Kibatala kutusaidia kutuokoa
Sabaya yule muntu yenye nguvu, Muntu ya watu, Pedesheee la wilaya na alijiona alfa na omega Leo anategemea msaada wa mawakili binafsi
Sabaya Leo hajui Omega yake itakuaje, Akiwa madarakani alijua omega yake ni daima
Mwaka jana mwezi kama huu Sabaya alikuwa anasherekea ushindi na mbunge wake mpya wa ccm, Leo sidhani kama hata huyo mbunge aliyempigania ameenda jela kumuona Sabaya
Ni muhimu wana ccm na viongozi wa serikali tutambue kuna Omega ya haya maisha, Omega ya Sabaya anategemea mawakili binafsi na sio wa serikali tena