Pilipilihoho
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 202
- 145
Jamaa mmoja alikuwa na tabia ya udokozi sana huko Tarime. Siku moja jamaa alivunja mlango na kuingia kwenye nyumba moja. Akaingia stoo akaona vinyama vikiwa kwenye bakuli vimekaushwa. Akaonja kimoja akaona kitamu na kina chumvi chumvi!
Jamaa akaamua kuvila vyote na alipomaliza kuvila akaangalia mlangoni akaona maandishi, “TOHARA KWA WANAWAKE!”
Unafikiri jamaa atakuwa alikula nini?
Jamaa akaamua kuvila vyote na alipomaliza kuvila akaangalia mlangoni akaona maandishi, “TOHARA KWA WANAWAKE!”
Unafikiri jamaa atakuwa alikula nini?