Siku za mwizi ni arobaini

Pilipilihoho

JF-Expert Member
Jan 29, 2016
202
145
Jamaa mmoja alikuwa na tabia ya udokozi sana huko Tarime. Siku moja jamaa alivunja mlango na kuingia kwenye nyumba moja. Akaingia stoo akaona vinyama vikiwa kwenye bakuli vimekaushwa. Akaonja kimoja akaona kitamu na kina chumvi chumvi!

Jamaa akaamua kuvila vyote na alipomaliza kuvila akaangalia mlangoni akaona maandishi, “TOHARA KWA WANAWAKE!”

Unafikiri jamaa atakuwa alikula nini?
 
Jamaa mmoja alikuwa na tabia ya udokozi sana huko Tarime. Siku moja jamaa alivunja mlango na kuingia kwenye nyumba moja. Akaingia stoo akaona vinyama vikiwa kwenye bakuli vimekaushwa. Akaonja kimoja akaona kitamu na kina chumvi chumvi!

Jamaa akaamua kuvila vyote na alipomaliza kuvila akaangalia mlangoni akaona maandishi, “TOHARA KWA WANAWAKE!”

Unafikiri jamaa atakuwa alikula nini?
Alikula vinyama vilivyokaushwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom