mbongopopo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2008
- 1,611
- 759
Tuchukueni likizo na watoto tusiwapeleke shule
Labda serikali itafungua macho na kufanya kitu maana hii ni kali hapo watakapoona wanafungia barabara gari moja au mbili
Na inazidi kuwa mbaya zaidi watu walale masaa mawili waamke tena kwenda kuangaika sababu ya nini wasichoweza tufurahisha pia?
Labda serikali itafungua macho na kufanya kitu maana hii ni kali hapo watakapoona wanafungia barabara gari moja au mbili
Na inazidi kuwa mbaya zaidi watu walale masaa mawili waamke tena kwenda kuangaika sababu ya nini wasichoweza tufurahisha pia?