muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,835
- 14,727
Safi hongera MwambaEeh me situmii condom kabsa kwa mpenz wangu na anajua kua situmii
Safi hongera MwambaEeh me situmii condom kabsa kwa mpenz wangu na anajua kua situmii
Ni kweli, ndio muda wa vikoba na kodi za nyumba na ada za shuleWakuu hivi mwanamke anakua danger days kwa sku ngap maan nimeambiwa atakua danger days had January. Je sipigwi kwel hapa?
Usiandike hivi naumia roho mwenzenu mjue.Muache akaiuze kwanza mana ww hua unapewa bure hvy hakuna haraka, uzuri ile kitu haina makombo hvy utaletewa ikiwa mzima ila labla utakuta imeongezeka ukubwa 😂
Vumilia tuu mkuu 😂Usiandike hivi naumia roho mwenzenu mjue.
Mungu anisaidie nisijenikajidhuruVumilia tuu mkuu 😂
😀😀😀😀Usiandike hivi naumia roho mwenzenu mjue.
Ety joline we mwanamke niambie naibiwa au inawezekana? siku ya leo imekua ngumu sana kwangu😀😀😀😀
Nampenda sana huyu nishajiwekeza kwakeTafuta nyingine uipige uwe nazo mbili au tatu
Inategemea hapo so hamtaonana hadi hio tar 31?Ety joline we mwanamke niambie naibiwa au inawezekana? siku ya leo imekua ngumu sana kwangu
Anadai danger days zitaisha had tarehe 30 December. Sasa nauliza inawezekana hizo danger days kukaa kwa siku nane?Inategemea hapo so hamtaonana hadi hio tar 31?
Sawa mwanetu endelea kuwekezaNampenda sana huyu nishajiwekeza kwake
Sio tu nane zipo mpaka 10 na kuendelea inategemea na mzunguko wakeAnadai danger days zitaisha had tarehe 30 December. Sasa nauliza inawezekana hizo danger days kukaa kwa siku nane?
Mkuu hii duara ni ngumu sana kulifuata kwa wanawake wa sikuhizi.