Wakuu Salaam! Nianze kwa kuelezea historia yangu fupi ilonipelekea nikamtafta mganga Ili aweze kunikwamua na magum nayo pitia.
Mwaka jana mwezi 12 nilifukuzwa kazi ikanibdi nirudishe mpila kwapani na kurudi nje ya mji ambapo nilikuwa nimennua kiwanja! Nikaamua kujenga chumba na seble Cha chap Ili angalau nipate sehem ya kujistiri huku nikiwa naendelea kutafta kazi nyingne.
Tangia hio mwaka jana nimetafta kazi Hadi sahivi sijapata naishia kufanya interview lakni kazini siitwi, sahivi nafanya shuguri ndogo ndogo ambazo napata Hela tu ya kula.
Baada ya mambo kuendelea kuwa magum ikanibidi nitafte mganga aniangalizie shida Iko wap.Nilivyofika kwa mganga nikampa maelezo kidogo then akanambia nitoe elf 5 Ili aniangalizie shida ni nini? Ndo akaanza kupiga tunguli kwa maelezo yake anasema anatumia mizimu kujua matatizo ya mtu.
Baada ka ya nusu saa ya kupiga tunguli majibu aliyonipa nikwamba mizimu yangu haijakaa sawa ndo inasababisha mambo yangu kwa Sasa hayaeleweki na Ili ayaweke sawa inabdi atengeneze dawa ya kuitengeneza hio mizimu yangu iwe sawa.Na kiasi anacho taka ni shilingi laki tatu.
Naomba niwaulize Wana jukwaa Kuna mtu ambaye ashaenda kwa mtaalam akaambiwa ana shida kama yangu na akatengenezewa dawa mambo yake yakawa sawa! Natanguliza shukrani za dhati.
Mwaka jana mwezi 12 nilifukuzwa kazi ikanibdi nirudishe mpila kwapani na kurudi nje ya mji ambapo nilikuwa nimennua kiwanja! Nikaamua kujenga chumba na seble Cha chap Ili angalau nipate sehem ya kujistiri huku nikiwa naendelea kutafta kazi nyingne.
Tangia hio mwaka jana nimetafta kazi Hadi sahivi sijapata naishia kufanya interview lakni kazini siitwi, sahivi nafanya shuguri ndogo ndogo ambazo napata Hela tu ya kula.
Baada ya mambo kuendelea kuwa magum ikanibidi nitafte mganga aniangalizie shida Iko wap.Nilivyofika kwa mganga nikampa maelezo kidogo then akanambia nitoe elf 5 Ili aniangalizie shida ni nini? Ndo akaanza kupiga tunguli kwa maelezo yake anasema anatumia mizimu kujua matatizo ya mtu.
Baada ka ya nusu saa ya kupiga tunguli majibu aliyonipa nikwamba mizimu yangu haijakaa sawa ndo inasababisha mambo yangu kwa Sasa hayaeleweki na Ili ayaweke sawa inabdi atengeneze dawa ya kuitengeneza hio mizimu yangu iwe sawa.Na kiasi anacho taka ni shilingi laki tatu.
Naomba niwaulize Wana jukwaa Kuna mtu ambaye ashaenda kwa mtaalam akaambiwa ana shida kama yangu na akatengenezewa dawa mambo yake yakawa sawa! Natanguliza shukrani za dhati.