mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 19,059
- 37,278
Na kaguzi zote zimefanyikaMie jf toka nasoma primary juzi ndio nlijiunga rasmi nkathibitishwa
Happy belated birthdayHongera sana,mi hata anadai ananipenda hakusema hata neno hbd😔
Kodi inahusiana vip na kusherekea siku yake ya kuzaliwaUna umri gani? Umeshaanza kudaiwa kodi ya nyumba au school fees?
Kwa akili zako Mzee wa Msoga ana shida gani? hata akimfanyia paka wake birthday ni sawa tu.Kodi inahusiana vip na kusherekea siku yake ya kuzaliwa
Mzee wa msoga juzi hapa kaangusha party kusherekea 72yrs
Mzee wa msoga tu nchi hii ndio hana shida sioKwa akili zako Mzee wa Msoga ana shida gani? hata akimfanyia paka wake birthday ni sawa tu.
si kweli. ungekuwa adult jambo dogo kama hilo usingepoteza muda wako kuliandikia. wewe bado ni katotoSio utoto mimi ni niko later adulthood uko
Jamiiforum imekua sehemu ya watu kumalizia stress zaoKodi inahusiana vip na kusherekea siku yake ya kuzaliwa
Mzee wa msoga juzi hapa kaangusha party kusherekea 72yrs
Mandela na ule uzee wake alishafanyiwa bonge la birthday London,si kweli. ungekuwa adult jambo dogo kama hilo usingepoteza muda wako kuliandikia. wewe bado ni katoto
Kwani mleta uzi alishakuja kukulia shidaKwa akili zako Mzee wa Msoga ana shida gani? hata akimfanyia paka wake birthday ni sawa tu.
Ndio hapo sasaKwani mleta uzi alishakuja kukulia shida
Jamiiforum imekua ni kichaka Cha watu kumalizia stress zao, Kuna watu hawapendi kuona wenzao wanafurahi na hii ni tabia watanzania wengi wanayoIla JF members wanapenda nyuzi za masikitiko wakupe pole za kinafiki
Sasa kosa la mleta mada ni lipi?kushare furaha yake kwa kuoneshwa upendo na wanaomzunguka?
Alichofanyiwa inahusiana vipi na utoto/kutokuwa na majukumu?
Hongera bhana Jorge WIP
Hongera pia kwa kufikisha umri uliofikisha,Mungu akakujaalie kila lililo jema
Negative comments wala usizingatie