Contraband
JF-Expert Member
- Nov 14, 2021
- 1,023
- 2,736
Shukuru sana kuwa na marafiki unaoweza kuwaita familia.
Sio kweli wako watu wanaokupenda unconditionalDunia hii why ni tambara bovu hakuna mtu au watu wema wanakupendea kitu either unakonnection au kazi yako inawafaidisha au wanajua bila wewe kuna kitu kitalega.
Wanakutumia kishirikina either nyota ua kivuli au nafsi au nyaya au sura yako na wewe ni ngumu kujua kwa upendo wanaokuonyesha mie sina rafiki dunia hii
Ni YESU PEKEE kuna wimbo utafutie online rafiki bora yu mbinguni duniani marafiki hapaSio kweli wako watu wanakupenda unconditional
Inaonekana stress zinakusumbua, sababu ukiwa na stress unahisi hakuna anayekupendaNi YESU PEKEE kuna wimbo utafutie online rafiki bora yu mbinguni duniani marafiki hapa
Inaonekana stress zinakusumbua, sababu ukiwa na stress unahisi hakuna anayekupenda
Sawa
Kikwete kafanya mpaka mahojiano kwenye siku yake ya kuzaliwa akiwa anatimiza miaka 72, tena akiwa na mke wake. Uzee wako na tabia zako za kizamani sio lifestyle ya kila mtu, wewe kama unafurahia kufuga bata na kulima bustani huna uwezo kuzuia mtu kufurahia tukio linalomhusu kisa unamzidi umri.Miaka 10 ijayo ndio utakumbuka hili swali nililokuuliza.
Wewe bado immature.
ili kipya kipi kitoke..aisee vyuo vifunguliwe tu
Nani kakuaminisha kua umri wa mtu unapimwa kwa kuangaliwa amejiunga JF lini?Lovelovie umejiunga JF mwaka jana wewe si ndio mwanafunzi aisee
Ndio zote hadi za nywele 😊Na kaguzi zote zimefanyika
Na niliona hata hizo ni fupi usijeacha zikarefukaNdio zote hadi za nywele 😊
SawA siwez Acha nafuata ushauri wakoNa niliona hata hizo ni fupi usijeacha zikarefuka