Umenena vyema ukipata nafasi ya kufurahia furahia maisha furahia tunaishi Mara moja tu hamna kipindi Cha piliWatu wanafikira potofu sana kila jambo hawakosi la kusema, ndio maana unatakiwa usiangalie watu wanasema nini, ili mradi huvunji sheria za nchi wala humnyimi uhuru mtu mwingine wewe fanya unaloona linakufaa, ukisikiliza hawa watu watakutumbukiza shimoni, watu wengine hawana ule wasaa wa kuweza kufurahia na marafiki, hivyo wanataka na kila anaewazunguka wawe hivyo. HAIWEZEKANI.
Kikwete naye juzi alisherekea birthdayKusherehekea birthday kwa mwanaume ni utoto labda kama ww ni demu sawa endelea
HongeraDakika chache zilizopita ilikuwa siku yangu ya kuzaliwa ila nina utaratibu wa kuacha tu siku ipite bila kufanya taratibu yoyote.
Lakini marafiki zangu leo wamenishangaza baada ya usiku kunitegea na kunifanyia sherehe, waliniita kama kuna dharura nikaenda kukuta wamepanga kila kitu aisee sikutegemea kabisa!
Nikauliza kwanini wameingia gharama, wakasema haijalishi upendo wao kwangu hauna lebo ya bei, tukio dogo la leo limenirudishia imani kidogo katika ubinadamu, nilijua tumebaki magaidi tu, kumbe kuna watu wazuri bado wapo ndani ya dunia hii na wanajali.
Nawasihi msikate tamaa mlioumizwa kwenye mahusiano, yawe ya mapenzi au kindugu, jua ipo siku utakutana na watu wanaokujali na kuona thamani yako.
Rudi kasikilize interview yake kwasababu alifanya birthday juzi halafu urudi tena hapa familia yake ndo ilitaka vile ila yeye huwa hafanyagi upuuzi uleKikwete naye juzi alisherekea birthday
We ni mjinga sana naweza nikasema hivyo mleta uzi amesema yeye hakua na mpango wa kufanya birthday Ila marafiki zake ndo wamemfanyia na amewashukuru kwa upendo Mkubwa waliomuonyesha hio inatofauti Gani na kikwete ambayo familia yake ilimfanyiaRudi kasikilize interview yake kwasababu alifanya birthday juzi halafu urudi tena hapa familia yake ndo ilitaka vile ila yeye huwa hafanyagi upuuzi ule
KummkoWe ni mjinga sana naweza nikasema hivyo mleta uzi amesema yeye hakua na mpango wa kufanya birthday Ila marafiki zake ndo wamemfanyia na amewashukuru kwa upendo Mkubwa waliomuonyesha hio inatofauti Gani na kikwete ambayo familia yake ilimfanyia
Kama mwanaume unasherehekea birthday we ni choko tu huna tofauti na maslay queen wote ndo hao type mojaPunguza makasiriko
Naona umethihirisha ujinga wako, una shida ya akili kesho nenda kwa doktaKummko
M ninachojua ilikua siku ya watu wenye matatizo ya afya ya Akili na waziri akasisitiza kuna watu wanatakiwa waende mirembeDakika chache zilizopita ilikuwa siku yangu ya kuzaliwa ila nina utaratibu wa kuacha tu siku ipite bila kufanya taratibu yoyote.
Lakini marafiki zangu leo wamenishangaza baada ya usiku kunitegea na kunifanyia sherehe, waliniita kama kuna dharura nikaenda kukuta wamepanga kila kitu aisee sikutegemea kabisa!
Nikauliza kwanini wameingia gharama, wakasema haijalishi upendo wao kwangu hauna lebo ya bei, tukio dogo la leo limenirudishia imani kidogo katika ubinadamu, nilijua tumebaki magaidi tu, kumbe kuna watu wazuri bado wapo ndani ya dunia hii na wanajali.
Nawasihi msikate tamaa mlioumizwa kwenye mahusiano, yawe ya mapenzi au kindugu, jua ipo siku utakutana na watu wanaokujali na kuona thamani yako.
Mpe nauli aende tu tusije mkosa bhnaKuna jamaa comments kadhaa za juu hapo anatakiwa aende
Wengi tuu Bashite alisema ndo anakula raha kuliko kiumbe yeyote duniani.Mzee wa msoga tu nchi hii ndio hana shida sio
Jaribu kwanza kua na akili ya uelewa wa ulichokisoma kabla ya kukurupuka,kuna sehemu nimesema kua kuna ubaya wa mtu kufurahia siku yake ya kuzaliwa? wewe ndio una stress na sio mimi,Roho mbaya aijengi punguza stress kuna ubaya gani mtu kufurahia siku ya kuzaliwa kila mtu na life style yake me kwa upande wangu siwezi kabisa kusherekea siku ya kuzaliwa lakini na heshim wanao sherekea maisha ya hapa duniani ni mapito so fanya kinacho kupa amani na furaha