Siku ya Sheria: No mention of Tundu Lissu!, Je ni amesahaulika tu kutajwa, amepuuzwa au ameepukwa?!.

Nadhani wewe na Barbarosa mngefuatilia siasa za kwenu rwanda
 
Haaahaaaaa ndo maaa nikakuambia mchawi hawez mwona mwenzie mpaka..........! Kama nina matatizo ya akili basi ulianza wewe nenda katibiwe wewe kabla intensive mental haijakukuta! Wahi kungali zinakutosha bado usije ukatembea uchi badae barbarani!
Mi ni daktari wa magonjwa ya akili yanayowasumbua watu kama wewe....kumbe ushaanza kutembea uchi barabarani mkuu???
 
Paskali wanasheria ni wapuuzi sana kuruhusu taaluma yao ikojolowe na tundulissu kujineemesha kisiasa. Walipewa nafasi ama wachague taaluma yao au wamchague Tundulissu aliyekwisha kuikojolea taaluma ya sheria. Wakamchagua tundulissu wakaamua kuikojolea taaluma yao. Haya ndiyo waliyotaka.
 
Kilichofanywa na Spika wa Bunge, kumvua Lissu ubunge wake, sio mwanzo bali ni mwisho, mpango wa kumuengua Lissu ulianza siku nyingi kabla, uzi huu ukiwa, ni sehemu ya mpango huo.
P
Pascal Mayalla mbona unajikanganya Ngosha?

Katika uzi wako mwingine unaonyesha kwamba Spika amezingatia Kanuni na taratibu zao ambazo Lissu amezikiuka, katika uzi huu unaonyesha kwamba Huu Ni mpango Maalum ulioandaliwa toka kitambo ili kumuondolea Lissu ubunge kwa Lugha rahisi unakubali kwamba hizi ni hujuma za Makusudi kimkakati zilizopangwa kumuondolea Lissu ubunge.
 
Leo ni Tundu Lissu day, ilikuwa arejee, leo, japo hakurejea, tunamuadhimisha kwa kumtafakari kwa sababu


Leo siku ya tarehe 7/Sept. 2019 ni siku ya kumbukumbu ya miaka miwili toka Mh.Tundu Lisu aliposhambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana. Mpaka leo bado wasiojulikana hawa bado hawatajulikana na uchunguzi mkubwa, makini na mkali wa Jeshi letu adilifu la polisi, unaendelea kuwabaini wasiojulikana hawa, hivi sasa kuna mashuhuda wawili muhimu sana, wanasubiriwa wao tuu kuhojiwa ndipo taarifa rasmi ya polisi kuhusu maendeleo ya uchunguzi huu ndipo ilatolewa.


Tuvute subra.

Get well soon Mhe. Tundu Lissu and welcome back home.

P
 
Wasiojulikana mpaka leo bado hawajulikani. Na wale wanaodhaniwa hawapo pia?
 
Neno (Wasiojulikana)lina ukakasi na lina ibua maswali mengi yasio na majibu yalio sahihi.
Kimsingi makoso ya nayohusu uharifu dhidi ya binadamu yanapotokea uchunguzi wake wakati ukiendelea neno wasio julikana lisitumiwe sana kwani hili laweza kuwa chaka kubwa la kuuficha ukweli wa tukio na kutengeneza au kupanda mwendelezo wa uharifu dhidi ya binadamu matendo ambayo huweza kutengeneza fikira Kali za chuki ndani ya jamii ama kutengeneza visasi vya kimya kimya kati koo na koo ,jamii kwa ujumla.
Sio neno zuri kulitumia (wasiojulikana)huku maisha ya watu yakihatarishwa ana kupotea
 
Wanabodi, mimi nilidhani Lissu hatarejea
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Final Update
Tundu Lissu leo amerejea nyumbani Tanzania, hivyo naomba kuthibitisha humu kuwa Tundu Lissu ni Jasiri na Shujaa Kuliko Nelson Mandela.

Hivyo sasa, kufuatia kurejea huku, ule ushauri wangu nilioutoa kwake kabla hajashambuliwa, sasa utekelezwe.

Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!

Shujaa Kamanda Tundu Lissu, karibu nyumbani.
Mungu ni mwema amekutendea muujiza, hivyo endelea kutimiza ndoto yako, Mungu aliyekuponya ni Mungu mwenye uwezo, anaweza kabisa kulifanya "Jiwe Walilolikataa Waashi, Likafanywa Jiwe Kuu la Pembeni"

I wish him all the best.
Paskali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…