kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,460
- 4,167
Nina siku nne sijapata haja kubwa.
Nikienda chooni naishia kujamba tu.
Nitakua na tatizo gani?
Nikienda chooni naishia kujamba tu.
Nitakua na tatizo gani?
Nenda pharmacy wakakupe dawa ya kulainisha choo.Nina siku nne sijanya.
Nikienda chooni naishia kujamba tu.
Nitakua na tatizo gani?
😂😂😂😂😂😂Mungu nifundishe kunyamaza
ChaiNenda pharmacy wakakupe dawa ya kulainisha choo.
Inaitwa Lactulose .
Cremafin syrup na io aliotajaChai
kunyakunya kunatokana na hali ya kulakula, sasa kama unakula mlo mmoja hafifu kwa siku utakunyaje siku hiyohiyo? Itabidi usipate msukumo mkubwa wa haja kubwa hadi tumbo na utumbo vijaeKwa hali ya uchumi ilivyo Tanzania,unye kwa Cha chakula gani ulichokula!?
Wapo wanaokunya mkuu... kilamtu ale kwa urefu wa kamba yake
Utamuua mwenzako alcohol iliopo kwenye ugolo sio poua kabisaKula ugoro meza na mate yake KIASI utakunya mavi mengi sana. Ila menyu iwe karibu maana njaa utakuja sana