MR.NOMA
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 338
- 502
Wakuu Kwema!!?
Pamoja na Tangazo linalosambaa la DAWASCO kuwa kulikuwa na itilaf kwenye mitambo ya maji huko RUVU, Sasa hii ni Tanzania pekee wananchi wamekosa huduma ya maji kwa siku nne mfululizo, huku mtaani wamama wanahaha kwelikweli, wengine wamelazimika kuuziwa maji yasiyo salama ya visima.
Ila Watendaji wakuu wa DAWASCo wapo tu kwenye nafsi zao mpaka Sasa, Waziri yupo tu,Naibu wake nk.
Hii ni Tanzania pekee,naamini ingekuwa kwingine wangesha jitumbua wenyewe.Kama Kiongozi unachukua karibu wiki nzima kutatua Changamoto ili wananchi wapate maji haraka kwa kuwa ni hitaji la muhimu.
======
UPDATES;10 Juni 2019
Maji yameshaanza kurejea.
Pamoja na Tangazo linalosambaa la DAWASCO kuwa kulikuwa na itilaf kwenye mitambo ya maji huko RUVU, Sasa hii ni Tanzania pekee wananchi wamekosa huduma ya maji kwa siku nne mfululizo, huku mtaani wamama wanahaha kwelikweli, wengine wamelazimika kuuziwa maji yasiyo salama ya visima.
Ila Watendaji wakuu wa DAWASCo wapo tu kwenye nafsi zao mpaka Sasa, Waziri yupo tu,Naibu wake nk.
Hii ni Tanzania pekee,naamini ingekuwa kwingine wangesha jitumbua wenyewe.Kama Kiongozi unachukua karibu wiki nzima kutatua Changamoto ili wananchi wapate maji haraka kwa kuwa ni hitaji la muhimu.
======
UPDATES;10 Juni 2019
Maji yameshaanza kurejea.