wakuu kama tunavyoelewa kwamba kwa sasa hakuna klabu kubwa Africa mashariki na kati zaidi ya Simba sc
Wapenda soka wote hata wadau wa simba tulilifuatilia tukio la mwananchi yanga kupitia azam tv
sasa najiuliza hapa hili tukio la simba day litaoneshwa na tv gani ili kila mtanzania aweze kulishuhudia?
au ndio simba inategemea kurusha tukio hilo kupitia simba app pekee?,,, kama ni hivyo kuna watanzania wangapi wanaweza kuitumia na internet ikiwa vizuri
Simba day bila tv tena yenye big screen ni bureee kabisa
Wapenda soka wote hata wadau wa simba tulilifuatilia tukio la mwananchi yanga kupitia azam tv
sasa najiuliza hapa hili tukio la simba day litaoneshwa na tv gani ili kila mtanzania aweze kulishuhudia?
au ndio simba inategemea kurusha tukio hilo kupitia simba app pekee?,,, kama ni hivyo kuna watanzania wangapi wanaweza kuitumia na internet ikiwa vizuri
Simba day bila tv tena yenye big screen ni bureee kabisa