Siku ya mwananchi ilioneshwa AZAM tv, Simba day itaoneshwa na Tv gani

Kajeba

JF-Expert Member
Oct 15, 2020
827
1,966
wakuu kama tunavyoelewa kwamba kwa sasa hakuna klabu kubwa Africa mashariki na kati zaidi ya Simba sc

Wapenda soka wote hata wadau wa simba tulilifuatilia tukio la mwananchi yanga kupitia azam tv

sasa najiuliza hapa hili tukio la simba day litaoneshwa na tv gani ili kila mtanzania aweze kulishuhudia?

au ndio simba inategemea kurusha tukio hilo kupitia simba app pekee?,,, kama ni hivyo kuna watanzania wangapi wanaweza kuitumia na internet ikiwa vizuri

Simba day bila tv tena yenye big screen ni bureee kabisa
 
wakuu kama tunavyoelewa kwamba kwa sasa hakuna klabu kubwa Africa mashariki na kati zaidi ya Simba sc

Wapenda soka wote hata wadau wa simba tulilifuatilia tukio la mwananchi yanga kupitia azam tv

sasa najiuliza hapa hili tukio la simba day litaoneshwa na tv gani ili kila mtanzania aweze kulishuhudia?

au ndio simba inategemea kurusha tukio hilo kupitia simba app pekee?,,, kama ni hivyo kuna watanzania wangapi wanaweza kuitumia na internet ikiwa vizuri

Simba day bila tv tena yenye big screen ni bureee kabisa
Kwani miaka iliyopita ilikuwaje? Kwa nini isiwe kama ilivyokuwa?
 
wakuu kama tunavyoelewa kwamba kwa sasa hakuna klabu kubwa Africa mashariki na kati zaidi ya Simba sc

Wapenda soka wote hata wadau wa simba tulilifuatilia tukio la mwananchi yanga kupitia azam tv

sasa najiuliza hapa hili tukio la simba day litaoneshwa na tv gani ili kila mtanzania aweze kulishuhudia?

au ndio simba inategemea kurusha tukio hilo kupitia simba app pekee?,,, kama ni hivyo kuna watanzania wangapi wanaweza kuitumia na internet ikiwa vizuri

Simba day bila tv tena yenye big screen ni bureee kabisa
Hata azam wakilipwa wataonesha

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom