Mkyamise
JF-Expert Member
- Apr 14, 2014
- 454
- 555
Hi wanabodi,
Kwanza namshukuru Mungu kwa kutupa pumzi ambayo hatulipii, as title states leo ni siku ya mwalimu duniani je tunamchukuliaje huyu mwalimu, doctor, engineer, pilots, predaa, nk hawa wote ni kazi ya mwalimu.
Thumbs to all teachers.
Nawapongeza walimu wote duniani kwa maadhimisho ya siku yao hii leo tarehe 05/10.
Kwanza namshukuru Mungu kwa kutupa pumzi ambayo hatulipii, as title states leo ni siku ya mwalimu duniani je tunamchukuliaje huyu mwalimu, doctor, engineer, pilots, predaa, nk hawa wote ni kazi ya mwalimu.
Thumbs to all teachers.
Nawapongeza walimu wote duniani kwa maadhimisho ya siku yao hii leo tarehe 05/10.