NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 11,291
- 14,573
Nenda Angaza wakakushauri jinsi ya kufanya
HahahahahahhhhSasa hapa ntachangia nini.?
Ngoja kaje kale kajamaa kenye avatar ya sura ya mtoto aliyebemendwa ambako kanachangia kila uzi.!!!
Hii comment imenifikirisha ku-imagine hako kajamaa.Sasa hapa ntachangia nini.?
Ngoja kaje kale kajamaa kenye avatar ya sura ya mtoto aliyebemendwa ambako kanachangia kila uzi.!!!
Salaam wana JF
Poleni Kwa mfungo
Mada tajwa yahusika
Wiki 2 zilizopita katika pita pita zangu mjini nkamwona mdada ambae huku nyuma kajaliwa kweli kweli nami ni mgonjwa wa inyee
nkamkimbilia na kumwomba namba,kiukweli huyu mdada Kanyimwa Sura Ila shape anayo
Bila ajizi mtoto kanipa namba nkaanza kumtia vokali mtoto kajaa
Sasa Ile j5 iliyopita mtoto nkamwita ghetto Kwa lengo aje apafahamu na pia iwe mara ya 2 kuonana
Kweli mtoto katimba, nkasema ngoja nimjaribu tukaoge wote nashangaa mtoto anakubali ,namvua chupi katulia hadi nguo zote nkamtoa,nkaingia nae bafuni nkaoga nae
Nkarudi nae room nkaomba game mtoto kakubali bila kipingamizi
Nkajiuliza inakuaje huyu manzi anakubali yote Haya na Kuwa na confidence ya kunivulia chupi fasta hivi ili hali hiyo Siku ni mara ya 2 tunaonana,but sikujali Sana nikamgegeda kimoja nkamwambia tusepe
Sasa ananiganda full kuniita mume wakati mi sina mpango nae
Nashindwa kumuelewa kaleta mazoea haraka mno.
Duuh naona jamaa mnamuandama mno
hahaha daah mkuu nimecheka sana,ngoja aje mzee wa ku bold manenoSasa hapa ntachangia nini.?
Ngoja kaje kale kajamaa kenye avatar ya sura ya mtoto aliyebemendwa ambako kanachangia kila uzi.!!!
Hutajwi mkuu wametoka kukuongelea muda c mrf vijana wko hp!Labda amekubali swagga zako mkuu...BTW kama huna malengo nae ni bora umwambie asije akakutegemea kumbe sio. Kuwa muwazi mapema alitambue hilo
Daah mwanangu acha tu watu wameniandama kichizi yaani kisa tu kucomment wa kwanzaHutajwi mkuu wametoka kukuongelea muda c mrf vijana wko hp!
habari ya hapa....Sasa km alikuwa na nyege afanyeje? Mijitu isokuwa na shukrani sijui ipoje