Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,002
- 72,284
Hahahahaha umetublockPM inbox yangu nimeifunga rasmi just few minutes ago. SORRY!
Hahahahaha umetublockPM inbox yangu nimeifunga rasmi just few minutes ago. SORRY!
Wadada wenye AIBU mwisho wao ilikuwa 1999Nawauliza wadada huwa mnakuwa na ujasiri gani kwa sababu nyie wenzetu mmeumbwa na Aibu! Ila katika hili sijui mnakuwaje Aisee....Karibuni nimeandaa beseni nataka kufua leo.
AhsaaaanteNitumie number yake kama humgegedi tena
Nitumie number basi dah. Usiwe mchoyo ndugu yanguMi nilimgegeda mmama mmoja wakati tunasafiri kwa bus toka dar To bukoba, tulikaa wote siti moja tukawa tunapiga story tukawa marafiki ghafla tulipofika kahama akanambia hawez lala guest peke yake nimpe kampani tuligegedana mpaka kidogo teachwe na bus, amekuwa mchepuko Wangu kwa miaka kama miwili nilipoacha chuo nikaachana naye japo bado tunawasiliana kama marafiki tu
Vizuri kula na wenzakooo.usiombee mmama akimpenda mkaka,,anakukirimia penzi la dhahabu,,nilikua safarini dar to mbeya kufika moro akapanda mmama mmoja hiv adi mbeya stori kibao,,,,tukabadilishana namba,,,,,,basi tukazoeana na siku akanipa,,wacha weee,,,ni bonge flan lakini anayajua kwakweli,,asante yake
Huna timingskila nikijaribu kuchepuka nakamatwa,sijui shida ipo wap
Kaa vizuri utulie ndipo uandike vizuri. Maana inaonekana umesimama kwenye mwendokasi ndio unaandika. Fika kwanza nyumbani utulie ndipo uandikeDoh, msinikumbushe, nlikuwa na dada namgegeda kabla sijaoa. Maana mchumba wangu alikuwa mkoa mwingine mbali na mm. Na pia tulikuwa tumeshapigana kibuti sababu alinicheat na mpwa wangu tukiwa wachumba bila yeye kujua, ama alijua ila kwa vile nlikuwa nimetangaza ndoa ikabidi amsaliti dogo. Basi nligundua tukiwa likizo na nikampa za uso, ila ikawa very too late alikuwa keshanasa wiki hiyohiyo maana nlivyotangaza ndoa nlianza kuambiwa hizo story zao. Basi bwana huyu dada alikuwa mwanafunzi wangu wa chuo nikawa nakula mdogo mdogo. Alivyojifungua mchumbangu nikiwa nanmiezi sita tu job kaja kunibwagia mtoto wa miezi sita, ikabidi ninyooshe maelezo ikabidi nijisalimishe kwao. Aliposikia huyu meingine daaaaaaaah kilinika mbaya. Nikawa nishatoa mahari, na mdada keshahamia kwangu. Akaapa nisipomgegeda ataharibu kila kitu maana alijitoa kwangu nimemgeuka. Basi nilikuwa napelekeshwa, kwanza anapiga simu muda anaojisikia, na siku anataka lazima nikampe. Siku ya kwanza nlirudi sikula sababu nlikuwa naumia moyoni balaa
Haijakamilika mzee babah078989005 kazi kwako boss
Inaita mbonaHaijakamilika mzee babah
We jinganilimgegeda yule mdada mpaka alisahau nguo yake ya ndani ila cha ajabu bdo ananitafuta
Roho ilikuuma mwanzoni baadae ikawaje?Roho iliniuma sanaa