HERUFI KUBWA
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 388
- 602
Wakuu...
Nakumbuka siku ya kwanza naanza form one sikulala na nilivaa nguo za shule usiku huo huo??
Siku ya kwanza advance nakumbuka nilitoka bwenini na kwenda darasani nikiwa na begi na madaftari 11 calculator bs,chand,nelkon vyote kwa siku ya kwanza kabisa??
Chuo sasa nakumbuka nilichukua ratiba ya semester nzima hivyo nikaanza kuingia kila kipindi hata nje ya course yangu
Nakumbuka siku ya kwanza naanza form one sikulala na nilivaa nguo za shule usiku huo huo??
Siku ya kwanza advance nakumbuka nilitoka bwenini na kwenda darasani nikiwa na begi na madaftari 11 calculator bs,chand,nelkon vyote kwa siku ya kwanza kabisa??
Chuo sasa nakumbuka nilichukua ratiba ya semester nzima hivyo nikaanza kuingia kila kipindi hata nje ya course yangu

