Siku ya kwanza chuo au shule

Siku ya kwanza chuo au shule

HERUFI KUBWA

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2017
Posts
388
Reaction score
602
Wakuu...
Nakumbuka siku ya kwanza naanza form one sikulala na nilivaa nguo za shule usiku huo huo??

Siku ya kwanza advance nakumbuka nilitoka bwenini na kwenda darasani nikiwa na begi na madaftari 11 calculator bs,chand,nelkon vyote kwa siku ya kwanza kabisa??

Chuo sasa nakumbuka nilichukua ratiba ya semester nzima hivyo nikaanza kuingia kila kipindi hata nje ya course yangu
 
Siku ya kwanza form1 nilidoji nikakutwa bwenini nikala stiki

Siku ya kwanza form5 nikienda class na nguo za home bila hata daftari nikisingizia hatujagawiwa uniform nikala stiki kama kawaida

Siku ya kwanza chuo nilidoji nilikua zangu hostel nakula upepo

Siku ya kwanza kazini sikwenda kureport nikisingizia sina nauli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku ya kwanza form1 nilidoji nikakutwa bwenini nikala stiki

Siku ya kwanza form5 nikienda class na nguo za home bila hata daftari nikisingizia hatujagawiwa uniform nikala stiki kama kawaida

Siku ya kwanza chuo nilidoji nilikua zangu hostel nakula upepo

Siku ya kwanza kazini sikwenda kureport nikisingizia sina nauli

Sent using Jamii Forums mobile app
Umetisha mkuu
 
Siku ya kwanza Chuo nilidoji dah..kilichofuata baada ya kukamatwa nikapgwa sitiki za kufa mtu
 
siku ya kwanza chuo nilikutana na rafiki angu anaongea kama cherehani

I BLNG 2 JESUS CHRST
 
Mimi nakumbuka siku ya kwanza chuo kwanza nilihenya kutafuta venue ninayotakiwa kuingia nikaipata nikakaa kama robo saa kipindi kikaisha lecturer akatuaga nikaona watu wanatoka na mimi nikatoka nikaenda kulala hostel ikawa siku ndio imetoka.....sasa nikawa kila siku naingia humohumo kwenye hiyo venue sasa nikawa nashangaa maana najikuta leo mara nimesoma economics mara kesho sheria mara siku inayofatia sociology mara procurement nikaendelea hivohivo.....yaani hadi kuja kujua kuwa vipindi vinakuwa katika venue tofauti ni karibia mwezi ushaisha kumbe mimi nilikuwa naingia na kozi zingine tofauti hata sijui
 
Back
Top Bottom