afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Hahahaha King 'ast bana..My dear nina glade wrapper zakutosha Sintoweza loana kabisa mmhhshauri yako, hizo zinakuwaga na matokeo ya miezi tisa! hakikisha it is worth ugomvi na makeup yake,lol!
Hahahaha King 'ast bana..My dear nina glade wrapper zakutosha Sintoweza loana kabisa mmhhshauri yako, hizo zinakuwaga na matokeo ya miezi tisa! hakikisha it is worth ugomvi na makeup yake,lol!
Usidondoke kwa nguvu naomba.. Naogopa ..... usivunje mguuwewe mwanamke wa ukwelli sana "never giver up" yaani hapa ndi unasababisha mimi nikudondokeee kabisaa in love
Teh teh teh Uniambie ni ndefu kiasi gani.. Ntakushtua nikifika kule...Haahaha...kabadilisha fimbo utakoma!Ukiwa na muda niibukie....
Hata hajaniambia...kasema ni siri yake...lolzz!!Will be here....Teh teh teh Uniambie ni ndefu kiasi gani.. Ntakushtua nikifika kule...
wakati wa kudondoka nitakubeba then nitatangulia kudondokea kitandani na wewe ukiwa juu yanguUsidondoke kwa nguvu naomba.. Naogopa ..... usivunje mguu
Khaaaaa!Embu hamieni chumbani...wengine tunaangalia tv hapa sebuleni.wakati wa kudondoka nitakubeba then nitatangulia kudondokea kitandani na wewe ukiwa juu yangu
Mhhh Kirahisi hivyo.. Twende baharini wakAti jua lina zama Tu cheze rugby .. .. napenda takle za rugby .. ( zina raha yake mchangani)wakati wa kudondoka nitakubeba then nitatangulia kudondokea kitandani na wewe ukiwa juu yangu
Au bajaji kabisa!Lazima atakua na gari lenye tairi mbili tu....
Hahahaha lolz umeshindwa kum bana kabisa.?? Sasa itabidi nikutafute kwa udi na uvumba mhHata hajaniambia...kasema ni siri yake...lolzz!!Will be here....
Teh teh Embu funga macho kwa dakika..Khaaaaa!Embu hamieni chumbani...wengine tunaangalia tv hapa sebuleni.
hahah kwani lazima mtuangalieeeee?Khaaaaa!Embu hamieni chumbani...wengine tunaangalia tv hapa sebuleni.
Weee nimbane mara ngapi?!Kunitafuta muhimu...unless hujipendi saaaana!Hahahaha lolz umeshindwa kum bana kabisa.?? Sasa itabidi nikutafute kwa udi na uvumba mh
hahah poa basi ..ngoja hizi siku mbili tatu nianze kukata tumbo kabisa manake naona kuna kitu kinaninyemelea kwa kasi ya ajabu sanaMhhh Kirahisi hivyo.. Twende baharini wakAti jua lina zama Tu cheze rugby .. .. napenda takle za rugby .. ( zina raha yake mchangani)
Macho hayana komeo babu ehhh...upepo ukipuliza tu mlango unafunguka.hahah kwani lazima mtuangalieeeee?
Bwana we unataka kuniuzuia magunzii.. Mm bane tena basi khaaa : )Weee nimbane mara ngapi?!Kunitafuta muhimu...unless hujipendi saaaana!
Mmmhhh " hivyo ulivyo nakupenda tu" "Honey, Honey nakupenda tu"Teh teh teh ni wimbo tu.hahah poa basi ..ngoja hizi siku mbili tatu nianze kukata tumbo kabisa manake naona kuna kitu kinaninyemelea kwa kasi ya ajabu sana
Haki vile nategemea umbea kutoka kwako...nikufurahi na mimi ntakumegea kidunchuu!Bwana we unataka kuniuzuia magunzii.. Mm bane tena basi khaaa : )
hahahah...sijafikia /sitafikia hatua hiyoMmmhhh " hivyo ulivyo nakupenda tu" "Honey, Honey nakupenda tu"Teh teh teh ni wimbo tu.
Bwana we unataka kuniuzuia magunzii.. Mm bane tena basi khaaa : )
nyie kitu gani kinaendelea hapa? namegewa nini ..ntauaaaaaaaHaki vile nategemea umbea kutoka kwako...nikufurahi na mimi ntakumegea kidunchuu!
Umbea na wewe...kama unataka kusutwa njoo!nyie kitu gani kinaendelea hapa? namegewa nini ..ntauaaaaaaa