Siku ya 7: Tundu Lissu bado amelazwa ICU na hawezi kula, kuamka na kuzungumza na yeyote

Status
Not open for further replies.
Mhe Lissu anaendelea vizuri. Wanaoeneza haya ni wale wale wanaochekelea na kumuomba Mungu kusitisha maisha yake. Mhe Lissu amekuwa ktk operation mbalimbali za kuunga mifupa ya mkono na miguu. Ktk hali hiyo dawa za usingizi na za kupunguza maumivu zimekuwa zikitumika. Madaktari wametoa ushauri apumzike muda wa kutosha. Unategemea mgonjwa wa aina hii akae ktk wodi ya kawaida? Lissu ataishi kwa uwezo wa Mungu na wote waliohusika na haya watawekwa hadharani ni swala la muda tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
AMEN AMEN AMEN
 
Mtu kama wewe na ubongo wa kufikiri namna hii (kama unafikiri anyway) ni hasara kwa Jamii na mzigo wa Taifa!
Mgonjwa umetoka hapa anaongea Sasa hivi mnatuambia hawezi kuongea tusiseme.Kama Nairobi hawezi waseme haraka kabla mambo hayajaharibika tusijekulaumiana baadaye.
 
Nairobi mna mpango wa kupoteza maisha ya Tundu Lissu kimya kimya tuna fuatilia hilo.
Kweli we jamaa umechanganyikiwa na swala la Lissu. Swala hili limeumiza WaTz kwa all most 80% ukiondoa wanyonyaji wachache wasiotaka wazalendo wajue wanavyoibiwa!! kama tramadol

Cairo's
 
Mungu atamuinuwa majereha yalikuwa mengi mno pamoja nakuwafanyiwa operation kubwa za mwili mzima lazima atakuwa na maumivu na kuwa mgonjwa sana, ICU kuna watu wanakaa hata miezi sita lakini wanakuja kuinuka na kusema na kuendelea tumuuombee Mungu ampe uzima amwachie pumzi amsimamie na laana ya kishetani ya bashite na baba yake ambao vizazi vyao vyote haswa baba bashite vitaipokea na huyo mwingine yaani Daudi bashite ndio ajiandaye kufa kifo cha ajabu na kubaki kuliwa na funza maana amekuwa metekelzaji wa uovu wauaji wote hawajawahi kuwa salama
 
Imeelezwa Mwanasheria Mkuu wa Chadema , Rais wa TLS na Mbunge wa Jimbo la Singida mashariki Mhe Tundu Lissu kwa siku saba sasa bado amelazwa ICU na hawezi kula, kuamka na kuzungumza na yeyote zaidi ya madaktari.

Tundu Lissu anaendelea kupokea matibabu katika hospitali ya Nairobi nchini Kenya, baada ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana mjini Dodoma wiki iliyopita.

My take:
Watanzania wote wenye akili timamu tuendelee kumwombea Tundu Lissu Mungu aendelee kumpa nguvu.
Mungu atamponya tuu
 
Yupo London ya east Africa. Tuna viongozi wa ajabu sana Tanzania kina Mbowe na kundi lake kazi kujazana kwenye social media kujisaidia kisiasa zaidi ya kumsaidia Mwanamageuzi wa kweli. imani yangu ni kwamba kasi ya Lissu ilikua toshio kwa wengi sana. Lakini Mungu yupo tutajua ukweli mwisho wa siku. Watu wamemgeuza mtaji wao kisiasa. Kina Halima Mdee wanaropoka tu kina Kubenea wanaropoka. Hatari heri hata tumdhaniaye kafanya hili yupo kimya.
Adui mkubwa wa Lissu yupo nae aliko Lissu, mbaya zaidi ndie anayehakikisha Lissu haponi maana akipona aibu si ya dunia hii!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli cha msingi atibiwe, ila hawatampa second opinion. Hata kama uwezo wao wa kutibu umefikia mwisho. Hapo hapo hela zitakuwa zinaenda.

Hospitali nzuri au daktari mzuri atakupa second opinion kama akiona hali ya mgonjwa sio nzuri.

Huwa wanatoa.Ila wanaangalia situation ya mgonjwa uwezo wake wa kusafiri muda mrefu.Pia wanahospitali rafiki ambazo wanashirikiana nazo.
 
Mungu atamuinuwa majereha yalikuwa mengi mno pamoja nakuwafanyiwa operation kubwa za mwili mzima lazima atakuwa na maumivu na kuwa mgonjwa sana, ICU kuna watu wanakaa hata miezi sita lakini wanakuja kuinuka na kusema na kuendelea tumuuombee Mungu ampe uzima amwachie pumzi amsimamie na laana ya kishetani ya bashite na baba yake ambao vizazi vyao vyote haswa baba bashite vitaipokea na huyo mwingine yaani Daudi bashite ndio ajiandaye kufa kifo cha ajabu na kubaki kuliwa na funza maana amekuwa metekelzaji wa uovu wauaji wote hawajawahi kuwa salama
Adui wa Lissu yupo na Lissu alipo Lissu, anahakikisha Lissu asipate kupona asije kumwaibisha, jiulize kwa nini yupo alipo mgonjwa muda wote!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom