Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Muulize huyu....Dar haina maji yeye yuko Iringa kwenye shareha za siku ya amaji duniani
usalama wa taifa hovyo kabisa....cheki huyo mlinzi alie karibu na jk......kushoto kwake......
Muulize huyu....Dar haina maji yeye yuko Iringa kwenye shareha za siku ya amaji duniani
nashangaa watanzania tulivyowapole. ni siku ya tano jiji la dar halina maji, na wananchi wake kimya. ukipita muhimbili harufu inayosikika ni mbaya sana. sijui ni lini magonjwa ya mlipuko yataanza. hivi wananchi wenzangu ni wajinga zaidi ya serikali au serikali ndio wajinga zaidi ya wananchi. siendi kazini leo siku mbili sijaoga...nawasilisha
Yaani mimi nawashangaa sana mnaolalamika kuhusu Dar kukosa maji. Labda mimi ni punguwani....Hivi mbona mimi sioni maji Dar. Kila kukicha mimi nanunua maji kutoka kwa wale wauzao maji kwa magari. Bajeti yangu ya maji kwa mwezi nadhani ni kama Laki moja. Huku ninapokaa kuna ule mradi wanaosema ni wawachina. Mabomba yanaota kutu tu. Hamna lolote. Hem naomba muache kudiscuss hii mada ya eti Dar yakosa maji. Yakosa? Give me a break. Na mnisamehe kama nitawakwaza.
nashangaa watanzania tulivyowapole. ni siku ya tano jiji la dar halina maji, na wananchi wake kimya. ukipita muhimbili harufu inayosikika ni mbaya sana. sijui ni lini magonjwa ya mlipuko yataanza. hivi wananchi wenzangu ni wajinga zaidi ya serikali au serikali ndio wajinga zaidi ya wananchi. siendi kazini leo siku mbili sijaoga...nawasilisha