Siku ya 5 hakuna Maji Dar, Serikali kimya...

Muulize huyu....Dar haina maji yeye yuko Iringa kwenye shareha za siku ya amaji duniani

8E9U6566.JPG

usalama wa taifa hovyo kabisa....cheki huyo mlinzi alie karibu na jk......kushoto kwake......
 
nashangaa watanzania tulivyowapole. ni siku ya tano jiji la dar halina maji, na wananchi wake kimya. ukipita muhimbili harufu inayosikika ni mbaya sana. sijui ni lini magonjwa ya mlipuko yataanza. hivi wananchi wenzangu ni wajinga zaidi ya serikali au serikali ndio wajinga zaidi ya wananchi. siendi kazini leo siku mbili sijaoga...nawasilisha

Napenda kipindu pindu kilipuke Masaki, Mbezi beach, Oyster bay, Kunduchi, Ikulu ili hiki kizazi kinacho ishi maeneo hayo kipotee
 
Yaani mimi nawashangaa sana mnaolalamika kuhusu Dar kukosa maji. Labda mimi ni punguwani....Hivi mbona mimi sioni maji Dar. Kila kukicha mimi nanunua maji kutoka kwa wale wauzao maji kwa magari. Bajeti yangu ya maji kwa mwezi nadhani ni kama Laki moja. Huku ninapokaa kuna ule mradi wanaosema ni wawachina. Mabomba yanaota kutu tu. Hamna lolote. Hem naomba muache kudiscuss hii mada ya eti Dar yakosa maji. Yakosa? Give me a break. Na mnisamehe kama nitawakwaza.

Kwa hiyo unataka wote tuwe kama wewe kununua maji ya laki moja? Unalalamika halafu unaikubali hali unayo ilalamikia?
 
nashangaa watanzania tulivyowapole. ni siku ya tano jiji la dar halina maji, na wananchi wake kimya. ukipita muhimbili harufu inayosikika ni mbaya sana. sijui ni lini magonjwa ya mlipuko yataanza. hivi wananchi wenzangu ni wajinga zaidi ya serikali au serikali ndio wajinga zaidi ya wananchi. siendi kazini leo siku mbili sijaoga...nawasilisha

Kichwa "serikali kimya", utumbo "wananchi kimya". Tukueleweje?

Serikali jana ilileta mpaka ukarabati unaofanywa kwa picha, labda hutazami tv za Tanzania.
 
Back
Top Bottom