Papa Mobimba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 1,153
- 1,359
- Thread starter
- #81
Nilitumia tumia, zilipokwisha nikawa najifanya nasahau kununuaVip ndo ulianza kutumia tangu siku iyo
Nilitumia tumia, zilipokwisha nikawa najifanya nasahau kununuaVip ndo ulianza kutumia tangu siku iyo
Si alisha nisameheHahahaha
We jamaa umeandika kama vile my wife wako hayupo humu JF. Inawezekana anakusoma tu halafu mtiti uibuke upya.
Hivi kweli mnaamini kabisa wanawake hawajui kwamba wanadanganywa? Wananyamaza kuepusha shari tu.
Hapana. Kilichoniokoa huyo msichana hana ''ukali'' wa kuzuzua hivyo nadhani hata wife alipima akaona possibility ya mimi kutoka naye ni ndogoHii kesi Mkuu! Nadhani ilikuwa kubwa mno!
Ningekuwa mkeo basi ndio ingekuwa mwanzo wa condom kwa kila tendo.
Na yeye pia anataka utamuNingekuwa mkeo basi ndio ingekuwa mwanzo wa condom kwa kila tendo.
Anataka jamaa asimuogope mkewe.....ukosefu wa heshima tu huyu kama sio mkurya basi msukumaUmemaanisha nini?!
Kitumbua kikaingia mchangaKondomu kwenye mfuko ni uzembe! Hivyo vitu una dispose hata kama hujarudi nyumbani hata kama hukufanikiwa. Niliwahi kupatwa na mkasa wa kuita jina la msichana wetu wa kazi wakati tupo kitandani ''tunapasha viungo'' na mke wangu. Lakini si kwamba nilikuwa nimetembea nae kweli.. hapana. Ulimi uliteleza tu kwa sababu nimezoea kumwita sana kama nataka kumtuma nk. Halafu jina lake linaanzia na herufi kama la mke wangu. Mke wangu hakuniamini kama nimekosea akaanza kuzoza..
Hayo makabila uliyoyatuhumu apo kiungwana unapaswa kuyaomba msamaha!!Anataka jamaa asimuogope mkewe.....ukosefu wa heshima tu huyu kama sio mkurya basi msukuma
Hahahahahaha siyaombi wala nini nawajua 90% wako hivyo ....kwahyo wasikasirikeHayo makabila uliyoyatuhumu apo kiungwana unapaswa kuyaomba msamaha!!
Hahahahahaha siyaombi wala nini nawajua 90% wako hivyo ....kwahyo wasikasirike
Le Generale ulipotelea wapi?Ningekulaumu sana kama ungebabaika kutoa majibu, sisi wanaume akili zetu huwa ziko mbele maili 1000 kutafuta majibu ya papo kwa papo
Nipo mkuuLe Generale ulipotelea wapi?