Bishop Hiluka
R I P
- Aug 12, 2011
- 7,150
- 14,724
duuuh shigiiidaa
Ndugu yangu kabla ya kumshangaa na kuamua kupost hii thread yako ulipata muda wa kutafakari na kujiuliza kuwa hii si lugha mama yake? Kwa hiyo Shilole kufanya makosa madogo madogo si kitu cha kushangaza, na naamini ipo siku atakuwa tu na grammar nzuri. Mbona inapotokea mgeni kukosea kuzungumza, kuandika au kosoma Kiswahili hatushabikii kwa kuwaanika huku JF. Badilika ndugu yangu. Kama wewe uliandaliwa mazingira ya kukusaidia kujua lugha za kigeni basi wengine hatukupata.
naomba umfikishie hongera zangu "an excellent try" kama wewe ni miongoni mwa wachache waliokombolewa kifikra, kiingereza ni just a mere added advantage siyo dili kubwa kihivo hadi ulete humu. Najua anajifunza ili kupanua soko lake lakini siyo kana kwamba hataishi bila hiyo lugha ya kikoloni
Ndugu yangu kabla ya kumshangaa na kuamua kupost hii thread yako ulipata muda wa kutafakari na kujiuliza kuwa hii si lugha mama yake? Kwa hiyo Shilole kufanya makosa madogo madogo si kitu cha kushangaza, na naamini ipo siku atakuwa tu na grammar nzuri. Mbona inapotokea mgeni kukosea kuzungumza, kuandika au kosoma Kiswahili hatushabikii kwa kuwaanika huku JF. Badilika ndugu yangu. Kama wewe uliandaliwa mazingira ya kukusaidia kujua lugha za kigeni basi wengine hatukupata.
Ni wapi nilipomponda kwa Kiingeleza chake? Hebu soma heading kwanza kabla hujakimbilia kulalamika...
Ni wapi nilipomkosoa? Mimi nimeiweka hapa kwa kuwa yeye mwenyewe kaiweka kwenye mitandao...
Mkuu kama umetafsiri hivyo ni sawa lakini sijataja directly kwamba umemponda. .. .....ukitaka kujifunza lugha yoyote kwa urahisi u need to practice the little u know with those around u ili ukosolewe na maisha yasonge thats y kapost kwenye page yake akilenga fans wake. Haya tueleze y did u bring it here
Nini lengo la kuleta hii post hapa JF, ili watu wamkosoe au iweje?
Ndugu yangu kabla ya kumshangaa na kuamua kupost hii thread yako ulipata muda wa kutafakari na kujiuliza kuwa hii si lugha mama yake? Kwa hiyo Shilole kufanya makosa madogo madogo si kitu cha kushangaza, na naamini ipo siku atakuwa tu na grammar nzuri. Mbona inapotokea mgeni kukosea kuzungumza, kuandika au kosoma Kiswahili hatushabikii kwa kuwaanika huku JF. Badilika ndugu yangu. Kama wewe uliandaliwa mazingira ya kukusaidia kujua lugha za kigeni basi wengine hatukupata.