Siku Shakira alishika Mimba?

Siku Shakira alishika Mimba?

Sikonge

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2008
Posts
11,633
Reaction score
6,229
Hebu angalia hii Video na wewe useme maneno yako ewe mwana MMU.

Sidhani kama siku hii Pique alikumbuka hata SemKondoM ilipo maana........



web-gerard-pique-dick__oPt.jpg
Jamaa atakuwa nusu Mpingo huyu.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaa, bado sijawa na sitegemei kuwa. Nimeiona tu hii Video huko Facebook na nikaona ngoja niwaletee mabingwa wa JF kwenye kitengo cha MMU watowe maoni yao. Wewe yako yanasemaje?
Mhh jamani!!!Na we umekuwa kama paparazzi...
 
Hahahahaa, bado sijawa na sitegemei kuwa. Nimeiona tu hii Video huko Facebook na nikaona ngoja niwaletee mabingwa wa JF kwenye kitengo cha MMU watowe maoni yao. Wewe yako yanasemaje?
Ndio urijali huo...
 
Yupo tayari kwa wakati unaofaa na usiofaa
 
Siyo udhaifu. Naona mambo ya Viagra hayo na aliamua kupata DOZI mapema na akaenda kumpokea mtoto Airport.

Sidhani hata walisubiri kwanza wafike Hotelini, nafikiri walianzia kwanza pembeni mwa barabara na kimimba hchoooo!!!
Duh!kweli hapa Pique alionyesha udhaifu mkubwa!
 
Siyo udhaifu. Naona mambo ya Viagra hayo na aliamua kupata DOZI mapema na akaenda kumpokea mtoto Airport.

Sidhani hata walisubiri kwanza wafike Hotelini, nafikiri walianzia kwanza pembeni mwa barabara na kimimba hchoooo!!!
Teh teh teh!Uzalendo ulimshinda,lakini kwa kusema ukweli Shakira anamvuto mkubwa!
 
Back
Top Bottom