Nilitoaga mahakama ya ki....tu.nilikwenda kuomba affidavit(kiapo cha umri) jamaa akaniambia ili ukipate unatakiwa uwe na mashahidi(baba na mama,barua kutoka serikali ya mtaa,leaving certificate na vingine vingi)halafu sikuwa hata na kimoja.jamaa akaniambia nataka nkusaidie ukipate bila vitu hivyo nkamtoa 10000 dakika sifuri nilikuwa nikitoka getini na kiapo changu