Siku nikikutana na RA na EL ana kwa ana..!

Supervisor

JF-Expert Member
Oct 29, 2010
559
207
Siku nikipata bahati ya kukutana na hawa viumbe wawili nitawambia yafuatayo:-
1. Roho za wa Tanzania zinaumia na kuteketea kwa ajili ya tamaa yao.
2. Hawata ishi milele
3. Tumechoka kuibiwa mali zetu.
4. Huu ndo mwisho wa dhuruma.

Kwa kifupi tumechokaaaa..!
 
Mtaishia kusema pembeni tu ukikutana nae hta kufungua mdomo hutaweza,ndo tulivyo watz waoga kma mbwa koko,kma mtu yupo mbali kelele kibao akisogea karibu mnakimbilia kujificha bandani
 
Maswali mazuri na mimi nikuombee afya njema ili utimize azma yako hiyo kwa niaba watanzania wanaoteseka.
 
Kama huna mtutu tumia hata kisu, kama huna kisu basi tumia rungu, km huna rungu basi hata ngumi inatosha. Then we will say "message sent," and of course you will be a hero.
 
Back
Top Bottom