Supervisor
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 559
- 207
Siku nikipata bahati ya kukutana na hawa viumbe wawili nitawambia yafuatayo:-
1. Roho za wa Tanzania zinaumia na kuteketea kwa ajili ya tamaa yao.
2. Hawata ishi milele
3. Tumechoka kuibiwa mali zetu.
4. Huu ndo mwisho wa dhuruma.
Kwa kifupi tumechokaaaa..!
1. Roho za wa Tanzania zinaumia na kuteketea kwa ajili ya tamaa yao.
2. Hawata ishi milele
3. Tumechoka kuibiwa mali zetu.
4. Huu ndo mwisho wa dhuruma.
Kwa kifupi tumechokaaaa..!