JERUSALEMU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 3,156
- 3,626
Ni kizungumkuti lakini hatuna jinsi lazima tupambane kujinusuru na hili janga. It is a great ordeal.
Kati ya watu ninao waonea huruma ni hawa wanao fanya kazi na Jiwe. Ni ngumu sana kufanya kazi na mtu anaye jiona anajua kila kitu Duniani. Yeye ni Mwalimu, Nurse, Doctor, Engineer, psychologist, Dentist, Dalali, Padre, Mchumi,yaani yeye ndio kila kitu. Akisema fuata hicho! Usimsahihishe. Jamani wasaidizi wake wana wakati mgumu sana.
Lakini huu ujuaji wake una kwenda kuliangamiza Taifa kiuchumi na kushusha Kabisa heshima ya Nchi yetu Duniani.
May inakuja! Covid-19 itatuvuna kama moto wa nyika uteketezavyo majani makavu. Wasaidizi wa Jiwe watahangaika kutunza siri haita wezekana. Watatamani waachie ngazi lakini madaraka matamu japo sirini moto una waka.
Ipo siku watasimulia ugumu wa kufanya kazi na mtu mjuaji kupindukia.
Kati ya watu ninao waonea huruma ni hawa wanao fanya kazi na Jiwe. Ni ngumu sana kufanya kazi na mtu anaye jiona anajua kila kitu Duniani. Yeye ni Mwalimu, Nurse, Doctor, Engineer, psychologist, Dentist, Dalali, Padre, Mchumi,yaani yeye ndio kila kitu. Akisema fuata hicho! Usimsahihishe. Jamani wasaidizi wake wana wakati mgumu sana.
Lakini huu ujuaji wake una kwenda kuliangamiza Taifa kiuchumi na kushusha Kabisa heshima ya Nchi yetu Duniani.
May inakuja! Covid-19 itatuvuna kama moto wa nyika uteketezavyo majani makavu. Wasaidizi wa Jiwe watahangaika kutunza siri haita wezekana. Watatamani waachie ngazi lakini madaraka matamu japo sirini moto una waka.
Ipo siku watasimulia ugumu wa kufanya kazi na mtu mjuaji kupindukia.