kuwa mtu wa shukurani ni jambo la kheri.
malipo yetu kama wakubwa zako (hapo kwenye uzazi toa hapo kwi kwi kwi), ni wewe kufaulu. Kaza buti, komaa kama mhaya na hakikisha unafaulu.
Kila la kheri.
Nampendajee ex kidumu wangu jamaniiii, halafu ile ishu hukuniambia tena, ujue nmekununia wewe.
Kama anakuita mama mie aniite baba basi kwikwikwi..
hehehe, hebu toka hapa. mchepuko hauna street address wewe! na mchepuko haununi, hujui Mapolomoko ananiwania!
Haya kasome sasa hatutaki tena hizo div 5,hata kipindi cha matokeo unakaribishwa kuja kutoa ushuhuda hapa hapa
Haya nimerudi tena kipindi hiki cha matokeo!
Geography C, English C, History C, Kiswahili B, Literature D, Civics F na B/Math F.. Au pia waweza angalia mwenyewe. P.1440/0225
hongera! HGK inakuhusu ila una penalty ya hesabu na civics