Siku mbili tu anadai ana mimba yangu

Siku mbili tu anadai ana mimba yangu

wanaume tuna kazi, mahusiano mengi ya kimapenzi lazima yanaleta confusion, mi nimeacha kuuliza mwanamke kwa sasa. Nikama story yako yamenitokea last month, dada mmoja (frankly speaking sikuwa namfaham wala sijawahi kumwona) alikosea namba akatuma sms ya kimapenzi kwenye cm yangu, bahati mbaya sana cm akawa nayo mrs na akaisoma, palichimbika....

Baada ya mwezi mrs amekomaa na issue nikaamua kumtafta huyo dada nikwamwimbisha, akakubali nikamtumia nauri akasfiri kutoka mkoa mmoja kuja mkoa mwingine niliko.

Kumwona hivi ni dem bomba, tukaenda kutest HIV, wote tukawa poa. Tukaenda zetu kupumzika usiku mzima kwa hasira nikifikiria alivoleta mgogoro kwenye ndoa yangu, na hakujua nilipataje namba yake maana nilitumia laini tofauti na ile aliyoitumia sms.

Baada ya wiki eti nina mimba yako... Nikaona hii ni tabu nyingine kubwa, nikasajili laini mpya za cm ili asinipate milele.
hayaaaaa bana kama kutupa line ndo ujanjaa
 
Mimba hata lisaa Lea wewe acha hizo siulitaka choooo haya nenda haja sasa

Usikimbir umande mzeee haaa ulikuwa hujui au
 
huyo dem ni malaya tu anataka kukuangushia jumba bovu,hata kama hyo mimba ingekuwa kweli imengia siku hzo mlizokutana,lakini dalili za kujihisi kuwa ni mjamzito haziwezi kuja very soon kiivyo,huyo alishapata huo ujauzito ila alikuwa anamtafuta mtu wa kumwangushia jumba bovu
uko sahihi bro, akili yangu iliwaza hivyohivyo, ndo mana nikastukaa.
 
wewe umeenda kuzini halafu una mpango wa kumkorogea binti madawa mimba itoke halafu unasema unafuata misingi ya dini yako? dini ipi hiyo?
Hiyo dini kiboko mkuu. inaruhusu zinaa na utoaji mimba lakini hairuhusu matumizi ya kondom
 
Wiki iliyopita ya Pasaka nilipewa taarifa na ndugu yangu sista alieolewa na muhindi, kwamba wanaomba msaada jumatatu saa6 usiku niwapeleke airport wanaelekea india, kwa sababu hawakua na gari, nikawakubalia, ilivyofika hjiyo cku nikawafuata saa 5 ucku, ili waandae mizgo yao kwanza.

Ghafla nashtuka namuona mtoto mrembo kavaa kanga ni mweupe akiwasaidia kubeba mabegi na kupakia kwenye gari, ikabidi nimuulize sista kwamba huyu dada ni nani, akanijibu ni dada wa nyumba ya pili hapo tumemuomba awe anakaa hapa kwa mda sisi tukiwa india, maana hapakua na mtu nyumba yote ile. nikamjibu OK, akili yote iliamia kwa yule mrembo.

Muda ukafika nikawapeleka airport nikakaa nao mpaka saa saba nikageuza kurudi zangu. nikasema hata lazima nirudi kulekule kwa sista nikamalizane nae yule mtoto, kwa kisingizio cha kusahau ufunguo. aisee nilikamua mafutaa mpaka mbez beach, ninakaa nao karbu umbali wa km3 toka kwao.

Nikafika nikapga hodi, mtoto akaja fasta akauliza nani, nikamjibu kaka rich hapa nimesahau funguo ya gheto kwangu, akasema wapi, nikamjibu kwenye kochi, akasema subiri nikuletee, nikamjibu poa, hapo bado hajafungua geti, na ufunguo nilikua ninao mwenyewe, akarud akisema hauoni, nikamwambia fungua nije niangalie mwenyewe, akafungua geti( KOSA) nikazama ndan nikijidai natafuta ufunguo, saa saba ya usiku hiyo, huku yeye kasimama ameshika kiuno ananiangalia ninavyohangaika kubidua masofa ya watu kama kweli vile.

Nikamwita anisaidie, akaja, nikasema hapana ngoja nivue shati maana naswet vbaya, uzalendo ukanishinda nikamfata kwa nyuma nikamkumbatia, lahaulaa akapiga kelele, nikamwambia usiogope, nikamweleza yaliyo moyoni yote mtoto akaelewa ila akawa mgumu kujirahisisha.

Akakimbilia chumban kwake na mlango kaacha wazi akisema nisimsumbue anataka kulala, nikacheka kimoyomoyo nikisema kwisha habari yako umeniachia mlango wazi pia umevaa kanga moja, nikamfata hukohuko nikaomba mzigo akawa anakataa mara ooh ndo tunaona mara ya kwanza, mara nipo danger maneno kibao, huku natomasa tu nikaona mtoto anapumua kwa kasi huku akiongea maneno yasiyoeleweka, nikasema tayariiii.

Mtoto akanipa ushirikiano vya kutosha mpaka saa 10 alfajir mwanaume naondoka kwa watu mku mtoto akinisindikiza mpaka getin, kesho yake nipo job akili yangu yote inamuwaza yeye nikasema hataa lazima niende tena, nikamwendea hewani nikaimbisha tena akakubali niende saa tano ila sio na gari maana ndugu watastukia ishu kwa sabab wapo karbu nao nawanajua muhndi kasepa na mimi saa 10.

Muda ukafika nikachapa lapa mpaka kwa sista nikajilia vyangu mpaka saa 12.nilishiba aisee. Balaa linaanzia hapa baada kupga mara mbili na mara mwisho, mtoto akaanza kusumbua mara ooh sioni sku zangu na hii itakua mimba yako, nikamwambia acha ujinga wako yaani siku mbili tu cku huzioni, hiyo itakua ya watu wengine unataka kunisingzia, mi sihusiki, nikaanza kupokea matusi ya kutosha na pia akinitishia kuwa atamwambia sista kwamba cku ile nilivyowapeleka airport nilirudi kumbaka.

Aisee nilitaka kuanguka kwenye kiti ofisini, kuhusu kama akimwambia sista huu ujinga nilioufanya kwake. Ikabidi niwe mpole tu kukubali hali, akili inanituma nikamchoropoe bila ya yeye mwenyew kujua, maana baby wangu akijua hili nimekwisha.

Nataka nimpelekee zawad ya juice iliyo na vikorombwezo vya kuitoa hiyo mimba. Mimi ni pharmacist.
wanaume tuna kazi, mahusiano mengi ya kimapenzi lazima yanaleta confusion, mi nimeacha kuuliza mwanamke kwa sasa. Nikama story yako yamenitokea last month, dada mmoja (frankly speaking sikuwa namfaham wala sijawahi kumwona) alikosea namba akatuma sms ya kimapenzi kwenye cm yangu, bahati mbaya sana cm akawa nayo mrs na akaisoma, palichimbika....

Baada ya mwezi mrs amekomaa na issue nikaamua kumtafta huyo dada nikwamwimbisha, akakubali nikamtumia nauri akasfiri kutoka mkoa mmoja kuja mkoa mwingine niliko.

Kumwona hivi ni dem bomba, tukaenda kutest HIV, wote tukawa poa. Tukaenda zetu kupumzika usiku mzima kwa hasira nikifikiria alivoleta mgogoro kwenye ndoa yangu, na hakujua nilipataje namba yake maana nilitumia laini tofauti na ile aliyoitumia sms.

Baada ya wiki eti nina mimba yako... Nikaona hii ni tabu nyingine kubwa, nikasajili laini mpya za cm ili asinipate milele.
Mnawaandalia watoto wenu laana za kudumu
 
wanaume tuna kazi, mahusiano mengi ya kimapenzi lazima yanaleta confusion, mi nimeacha kuuliza mwanamke kwa sasa. Nikama story yako yamenitokea last month, dada mmoja (frankly speaking sikuwa namfaham wala sijawahi kumwona) alikosea namba akatuma sms ya kimapenzi kwenye cm yangu, bahati mbaya sana cm akawa nayo mrs na akaisoma, palichimbika....

Baada ya mwezi mrs amekomaa na issue nikaamua kumtafta huyo dada nikwamwimbisha, akakubali nikamtumia nauri akasfiri kutoka mkoa mmoja kuja mkoa mwingine niliko.

Kumwona hivi ni dem bomba, tukaenda kutest HIV, wote tukawa poa. Tukaenda zetu kupumzika usiku mzima kwa hasira nikifikiria alivoleta mgogoro kwenye ndoa yangu, na hakujua nilipataje namba yake maana nilitumia laini tofauti na ile aliyoitumia sms.

Baada ya wiki eti nina mimba yako... Nikaona hii ni tabu nyingine kubwa, nikasajili laini mpya za cm ili asinipate milele.
Kama kweli mimba ni yako huoni kama umekimbia tatizo mkuu!??
 
Afadhali wewe mkuu, Mimi nilipewa taarifa baada ya kutoka kuoga, ile nimeenda bafuni kuoga bàada ya mechi kwa Mara ya kwanza natoka tu naambiwa nina mimba yako.,
 
sasa mkuu we ulitaka upige mwenzi au wiki mfululizo embe acha ujinga halafu unajiita pharmacier?
 
Africa tumeisha!!!..... Phamacist unafanya ngono bila kinga?????
Kila leo matangazo kila kona watu wameamua kuwa wajinga kupita kiasi . Nashindwa kuelewa utamtia mtu vipi peku na unajua madhara yanayokuja?

Kingine mtu mwenyewe haumjui. Halafu mtu akipata magonjwa anaanza kumsingizia shetani. Hata shetani ni msafi uki compare kwa binadamu wengine.
 
Vijana acheni uzinzi, tamaa ya ngono ni mlango wa uovu!!
Kataa zinaa , kiu ya zinaa dawa yake ni Bwn Yesu!!
 
Pharmacist lakini haujui kama mimba inashka vipieee?
Vyakunyonga vimekuponza baba kijacho.
 
Afadhali wewe mkuu, Mimi nilipewa taarifa baada ya kutoka kuoga, ile nimeenda bafuni kuoga bàada ya mechi kwa Mara ya kwanza natoka tu naambiwa nina mimba yako.,
hahaha anakuuzia mbuz kwenye gunia, huyo alipima kabla akajua ipo.
 
Back
Top Bottom