Siku kama ya leo!!!!

charminglady lazima niende mlingotini yaani yaani yaani yaaani yaaani yaani yaani hujanitaja hata kurekognize kwamba nipo
Hapa naona kuna mkono wa Erickb52 na Nicas Mtei tuu sikubali
Hongera sana kwa kuwa kwako humu. Mimi sijui hata nani alinikaribisha ila ni mkongwe sana humu aise
 
Last edited by a moderator:

Huo utakuwa mkono wa Erickb52. Nami ni mhanga
 
Last edited by a moderator:

Thank you very much daddy...

 
Last edited by a moderator:

Mh ... wivu tu, sasa nikianza kuwataja wote si server itajam lol... haya we ntakushukuru kwa PM lol....
 
Last edited by a moderator:
endeleeni kuwa pamoja tu, ila natamani maneno ya kwenye signature yako ungekuwa unayafata mkuu wa kikuyu

Kumbe kawivu bado kapo eeehhhh..... :becky: :becky:
 
endeleeni kuwa pamoja tu, ila natamani maneno ya kwenye signature yako ungekuwa unayafata mkuu wa kikuyu
Kuwa pamoja we kunakuuma nini C6 ?
Mbona mi nimekuachia uncle wangu?
Halafu kuwa pamoja hakumaanishi tunaharibu kanuni fulani NO!
 
Last edited by a moderator:
Mwambie atulie....kama alikuacha anataka nini tena aisee?
Heheheee ngoja nimpe ID ya uncle wangu acheki nae PM

Hahahaaaaaa... Mi ngoja nijifiche hapa pembeni nitazame tu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…