Siku izi Umekuwa Zooba...

Siku izi Umekuwa Zooba...

kiwatengu

Platinum Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
19,298
Reaction score
17,814
Sikuwahi kufikiria kama ingefika kipindi niitwe Zoba!!

Zoba ni mwanaume wa aina gani!!
1.Hatongozi.
2. Haongi.
3. Kila mwanamke anamwona kama Dada yake....

Ndiyo situation ninayokutana nayo sasa.
Nimekutana na mababes kadhaa tuliozoeana nao vizuri siku za nyuma, haswa misimu kama hii!!

Mitoko ya hapa na pale!! but this time no...last year no!!
Kila mtu ana muda wake wakubadilika na kutulia na kuchagua hata watu wakutoka nao!!

Kubadilika sio Uzoba...
Warembo msinione zoba kwa kuwanyima elfu hamsini...
Msinione zoba kwa kutoshiri vikao vya dompo...
Msinione zoba kwa kuhudhuria ibada sana...
Msinione zoba kwa kutokupenda tena Papue(papuchi) zenu!!

Kidogo Kidogo tutaelewana tu!!
 
Safiiii, piga pini iliwatie adabu.
 
Kwendraaaaaaa.......tunajipanga......utaingia tu mkenge......hatuishiwagi mbinu.......sisi ni kama maji.......usipotunywa.......utatuogea......au kuoshea maeneo......mwisho wa siku.......tushakupata.........
 
Kwendraaaaaaa.......tunajipanga......utaingia tu mkenge......hatuishiwagi mbinu.......sisi ni kama maji.......usipotunywa.......utatuogea......au kuoshea maeneo......mwisho wa siku.......tushakupata.........

ha ha ha kama msimu huu nimepona ndiyo basi tenaaa...
 
Aaaaah wapi......hata kwenye ndoto.....tutakuja tu......
We mwanadamu zaidi ya nani bana.......

😀 😀 namwota mmoja bana...mtindo wa wengi, haupo tena Pretiee
 
Sikuwahi kufikiria kama ingefika kipindi niitwe Zoba!!

Zoba ni mwanaume wa aina gani!!
1.Hatongozi.
2. Haongi.
3. Kila mwanamke anamwona kama Dada yake....

Ndiyo situation ninayokutana nayo sasa.
Nimekutana na mababes kadhaa tuliozoeana nao vizuri siku za nyuma, haswa misimu kama hii!!

Mitoko ya hapa na pale!! but this time no...last year no!!
Kila mtu ana muda wake wakubadilika na kutulia na kuchagua hata watu wakutoka nao!!

Kubadilika sio Uzoba...
Warembo msinione zoba kwa kuwanyima elfu hamsini...
Msinione zoba kwa kutoshiri vikao vya dompo...
Msinione zoba kwa kuhudhuria ibada sana...
Msinione zoba kwa kutokupenda tena Papue(papuchi) zenu!!

Kidogo Kidogo tutaelewana tu!!
Hiyo ya nne toka mwisho lazima @atoto akuite zoba, hamna namna hapo!
Ila hongera kwa kukua!
 
Back
Top Bottom