MLALUKO JR
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 962
- 309
Habarini za mihangaiko,
Na changamoto za kimaisha wanaJF.
Napenda kufahamu, maana siku hizi wanawake wamekuwa ving'ang'anizi na rahisi kutaka kukutambulisha kwa ndugu zao au hata wazazi wao hasa Mama zao! Kwanini hali imekuwa hivi kipindi hiki je, ni kwa sababu wanaume wamekuwa wachache kiuwiana au ni haraka za kutaka kuolewa wakijua ukitambulishwa au ukimtambulisha mambo hayataenda mrama?
Mwenye kufahamu tufahamishane!
Na changamoto za kimaisha wanaJF.
Napenda kufahamu, maana siku hizi wanawake wamekuwa ving'ang'anizi na rahisi kutaka kukutambulisha kwa ndugu zao au hata wazazi wao hasa Mama zao! Kwanini hali imekuwa hivi kipindi hiki je, ni kwa sababu wanaume wamekuwa wachache kiuwiana au ni haraka za kutaka kuolewa wakijua ukitambulishwa au ukimtambulisha mambo hayataenda mrama?
Mwenye kufahamu tufahamishane!