Siku hizi wanawake hawachelewi kututambulisha kwa ndugu/wazazi, kwanini?

Mi ishanitokea, kufika home napewa wosia wa mtu mwenye ndoa. kumbe shida yangu ilikuwa kipochi manyoya, aliponinyima mimi niliamua kusepa tu. kwa nini uninyime wakati walishapita zamani? **** off
Duuuh
 
Wanawake wengi walikuwa wanaishi kiujanja ujanja mfano kule sinza kuna unakuta wamepanga nyumba upande mmoja hawana cha kufanya wanategemea wanaume sasa siku hizi wakiona tu angalau mwanaume anajiendeshea maisha kwa kuangaika wanajipendekeza ili waolewe! na sis wanaume tutawachagua kama nazi za sokoni! wamewafilisi baba zetu! mkipewa fursa ya kutambulishwa kubali halafu unasepa tuone kama wataendelea kutungangania kutambulishwa
Utawaumiza lkn kisaikolojia
 
Back
Top Bottom