Siku hizi wanaume ndio wanaolia msibani

Siku hizi wanaume ndio wanaolia msibani

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,985
Reaction score
25,198
Dunia inaenda kasi sana ,zamani wanaume kazi yao kubwa msibani ilikuwa ni kuchimba kabuli,kumstili marehemu kumbemba na kwenda kumpumzisha kwenye nyumba yake ya Milele ,

Kulia,kupika ,kuchota maji Na inshu ndogo ndogo ilikuwa ni kazi ya kina Mama,


ila siku hizi sasa wanaume kazi yao ni kulia Na kulegea Na wanawake kuja kutoa pole.

Wanaume wamekuwa soft sana siku hizi hivi mwanaume Yule anaelia msibani siku akifiwa ata Na mwanae ataweza kwenda kumstili marehemu,kumuosha,kumvika Na kumuweka kwenye jeneza.


Wanaume we are under attack ipo siku isiyo Na jina wanawake watatupokea kazi hizi.

Zero IQ
 
Sisi wa mikoani bado hizo shughuli tunaendelea kuzifanya mpaka kesho. Ila hadi muda huu bado tumeshikwa na mshangao tunapowaangalia huko Dar kupitia runinga, namna wanaume wanavyolia kwenye huo msiba wa Ruge!

Tunawaona wengine hata kutembea wanashindwa! Eti wanasaidiwa kama wanavyofanyiwa wake za marehemu huku mikoani tuliko
 
Wanaume tuliongoza kwa vijiwe vya story za kuchekesha msiban, Ila Saiv tunalia mpaka tunazimia


MF. Huyu nkuu nkohoa wa makonda
Analialia sana mara yeesuuuu uwiiii
Aaaah shame on us.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa kaokoka, walokole kulia ndio zao. Alipo takiwa aonyeshe cheti alilia hadi kamasi sembuse msiba.
 
Dunia inaenda kasi sana ,zamani wanaume kazi yao kubwa msibani ilikuwa ni kuchimba kabuli,kumstili marehemu kumbemba na kwenda kumpumzisha kwenye nyumba yake ya Milele ,

Kulia,kupika ,kuchota maji Na inshu ndogo ndogo ilikuwa ni kazi ya kina Mama,


ila siku hizi sasa wanaume kazi yao ni kulia Na kulegea Na wanawake kuja kutoa pole.

Wanaume wamekuwa soft sana siku hizi hivi mwanaume Yule anaelia msibani siku akifiwa ata Na mwanae ataweza kwenda kumstili marehemu,kumuosha,kumvika Na kumuweka kwenye jeneza.


Wanaume we are under attack ipo siku isiyo Na jina wanawake watatupokea kazi hizi.

Zero IQ

Ni kweli wamelegezwa na kuvaa hereni wengine tatoooo wengine kata k wengine kusuka hao ndio wanaume wa sasa hivi ndembendembe hao ndi wamelegea hata kama anabeba vyuma . Utakuta msichana mzuri lakini yupo na mmoja kati ya hao niliowataja
 
Mmmh kwa mtazamo wangu swala la kulia msibani sio swala la kuwa mwanaume wa mkoani au wa Dar hii ni jinsi gani kifo cha marehemu kimekugusA. Ruge alisaidia wengi mno hiyo itabaki kuwa privacy yao na marehemu quote toka kweny familia " Ruge cared much about the society around him than his family." Sasa familia imeona matundA yake. So hii inaonyesha jinsi gani watu walio fanya nae kazi Akatoa misaada ya dhati kwa jamii yake leo hii Ruge hayupo kwanini kama kwel una moyo wa kiuana damu usilie kwa kifo chake? Kwa mtu baki ata ona ni mtu wa kawaida ila kwa mtu anaye tambua mchango wa Ruge lazima utaliA mno labda usiwe na Moyo huu wa damu na nyama.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Wanawake wengi wanazaa kwa operation ule mshindo wa uchungu kwenye matumbo yao haupo! Wamebaki wa kusikilizia tu
Dunia inaenda kasi sana ,zamani wanaume kazi yao kubwa msibani ilikuwa ni kuchimba kabuli,kumstili marehemu kumbemba na kwenda kumpumzisha kwenye nyumba yake ya Milele ,

Kulia,kupika ,kuchota maji Na inshu ndogo ndogo ilikuwa ni kazi ya kina Mama,


ila siku hizi sasa wanaume kazi yao ni kulia Na kulegea Na wanawake kuja kutoa pole.

Wanaume wamekuwa soft sana siku hizi hivi mwanaume Yule anaelia msibani siku akifiwa ata Na mwanae ataweza kwenda kumstili marehemu,kumuosha,kumvika Na kumuweka kwenye jeneza.


Wanaume we are under attack ipo siku isiyo Na jina wanawake watatupokea kazi hizi.

Zero IQ

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu uliadimika siku mbili tatu, vipi ulikua sauzi nini?
wakulaumiwa wa kwanza ni wewe Zero IQ maana wewe ndie unawauzia chips watoto wa kiume, halafu hizo chips zako sijui unaziwekea nini maana wakila wanakua legelege kwelikweli.
Halafu pia 50/50 inachangia haya mambo maana inawafanya wanawake watake kua kama wanaume na pia wanaume wanajilegezalegeza ili hio dhana nzima ya 50/50 ionekane inafanya kazi vizuri.

Maendeleo hayana chama
 
Back
Top Bottom