Smart AJ
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 5,532
- 5,747
Hapa kwa ma legendary wenzangu wa miaka ya 80’s-90’s,nyie wa 2000 hii haiwahusu kabisa,mwaweza pita tu.
Vuta picha uko zako ghetto enzi hizo unaskiza ngoma kama
-this one I promise you ya nsync.
-forever and for always ya shania twain
-seven days and im walking away za craig david
-album ya westlife
-ngoma za bsb(back street boys)
-ngoma za michael jackson na lionel richie
-album ya mwanamama celine dion
-my all ya mariah carey
Na nyinginezo nyingi mtajazia wenyewe.
Tukirudi africa kuna vichwa kama 2 baba goma kama african queen,lilikuwa ni tishio sana.
P psquare na album yao ya get square (japo hapa ni miaka ya 2003 hapo)
Tanzania kina tid na mr paul na zuwena walitoa vibao murua haswaa.
Dada jide na kina stara thomas nao hawakuwa nyuma kabisa.
Na wengineo wengi waliofanya muziki mzuri na wa kuelimisha...
Kwa points hizi nachelea kusema vijana wa siku hizi wanadhulumiwa sana burudani ya muziki,tena sana tuu..
Vuta picha uko zako ghetto enzi hizo unaskiza ngoma kama
-this one I promise you ya nsync.
-forever and for always ya shania twain
-seven days and im walking away za craig david
-album ya westlife
-ngoma za bsb(back street boys)
-ngoma za michael jackson na lionel richie
-album ya mwanamama celine dion
-my all ya mariah carey
Na nyinginezo nyingi mtajazia wenyewe.
Tukirudi africa kuna vichwa kama 2 baba goma kama african queen,lilikuwa ni tishio sana.
P psquare na album yao ya get square (japo hapa ni miaka ya 2003 hapo)
Tanzania kina tid na mr paul na zuwena walitoa vibao murua haswaa.
Dada jide na kina stara thomas nao hawakuwa nyuma kabisa.
Na wengineo wengi waliofanya muziki mzuri na wa kuelimisha...
Kwa points hizi nachelea kusema vijana wa siku hizi wanadhulumiwa sana burudani ya muziki,tena sana tuu..