Siku hizi unadhifu wa mume sio fahari ya mke tena?

Asilimia kubwa wanauwezo, sema nia nzuri za mahitaji ya friji inakatishwa tamaa na umeme usio na uhakika.

#MosKwito !

Mkuu umejuaje hili?

....aaahhh Eiyer vipi tena? sio wewe uliyeniambia nikadirie?....au umesahau swali lako mazee?

Mkuu ninkikuambia ukadirie tu ni asilimia ngapi ya watanzania wanauwezo wa kuinunua hiyo friji achilia mbali kumudu gharama za umeme unaweza kuniambia ni wangapi?

....anyway, makadirio yangu yanatokana na uwezo wa watanzania wanaonizunguka na sehemu ninazoishi.
Still, hayo ni makadirio ya haraka tu,...hatupo kwenye ligi ya nani mjuaji zaidi bro, ni katika kubadilishana mawazo tu.

Am Out.
 
Mmmh angalau kwa waislam ipo wazi.. hizi si kazi za mke, akifanya basi anamfanyia ihsani tu mumewe lakini si jukumu lake. Mwanaume anatakiwa aweke mfanyakazi kwa hilo na amlipe!
Nachoshangaa ni kwamba kabla jamaa hajaoa aliweza kufua na kupiga pasi, alivyooa mara ikawa mikono yake imekatika ni jukumu la mke...
 
Mmmh angalau kwa waislam ipo wazi.. hizi si kazi za mke, akifanya basi anamfanyia ihsani tu mumewe lakini si jukumu lake. Mwanaume anatakiwa aweke mfanyakazi kwa hilo na amlipe!
Nachoshangaa ni kwamba kabla jamaa hajaoa aliweza kufua na kupiga pasi, alivyooa mara ikawa mikono yake imekatika ni jukumu la mke...

Haya bana!!!!!!!!!!!!
 
UNa uhakika kila aliyeko JF ana gari na nyumba kubwa achilia mbali mshahara mkubwa? Nimekwambia fanya research kidogo halafu urudi hapa utwambie ni kaya ngapi zina washing machine?

Tiba

HUKU NAKOISHI WILAYANI IKO MOJA TU NAYO IMEKUJA JUZI NI KIBIASHARA tatizo letu wabongo tunataka ku'adopt maisha ya wenzetu wakati uwezo hatuna, mlalahoi mie kipato per day si zaidi ya 5000 hujala na kupata mahitaji mengine ya kifamilia tushukuru mchina katuletea visimu vinavyo acces internet la sivyo hii mada ingetawaliwa na waenda na wakati wanaotumia iphone kama issue ni technology
 
....aaahhh Eiyer vipi tena? sio wewe uliyeniambia nikadirie?....au umesahau swali lako mazee?



....anyway, makadirio yangu yanatokana na uwezo wa watanzania wanaonizunguka na sehemu ninazoishi.
Still, hayo ni makadirio ya haraka tu,...hatupo kwenye ligi ya nani mjuaji zaidi bro, ni katika kubadilishana mawazo tu.

Am Out.
kama uko dar basi utakuwa unatokea pande za masaki
 
kama uko dar basi utakuwa unatokea pande za masaki

Masaki umeme haukatwi ndugu!
Btw,..... Enzi za matabaka ya masaki, oysterbay na msasani mambo hayo mbona yamepitwa sana na wakati?

Tembelea Kibada, Kisota, kijichi, etc uone maendeleo ya wilaya ya Temeke, ......sio kila neema ni Kinondoni tu.


#MosKwito !
 
HUKU NAKOISHI WILAYANI IKO MOJA TU NAYO IMEKUJA JUZI NI KIBIASHARA tatizo letu wabongo tunataka ku'adopt maisha ya wenzetu wakati uwezo hatuna, mlalahoi mie kipato per day si zaidi ya 5000 hujala na kupata mahitaji mengine ya kifamilia tushukuru mchina katuletea visimu vinavyo acces internet la sivyo hii mada ingetawaliwa na waenda na wakati wanaotumia iphone kama issue ni technology

Kifimboplayer, that was my point. Watanzania tulio wengi hiyo kitu inaitwa washing machine ni luxury ya hali ya juu na kuna wengine hata hawaoti kuwa nayo. Ila humu jamvini kuna vijana wamezaliwa na kukulia hapo Upanga, Osterday na masaki na kwa kuwa kwao kuna washing machine, basi wanafikiri ndivyo ilivyo kwa Watanzania wengine.

Tiba
 
1.huyo mwanamke anaasili ya uvivu
2.huyo mwanamke hana sababu za msingi za kumfanya mwnaume wake asiwe nadhifu hata kama anachoka kwani nguo zake hafui? hanyooshi? inamaana huyo mkewe na yeye yuko rafu?
3.mwanaume ukiona hivyo kwanini usichukue jukumu la wewe kufua nguo zako na kuziweka ktk hali ya usafi??.
 
Kifimboplayer, that was my point. Watanzania tulio wengi hiyo kitu inaitwa washing machine ni luxury ya hali ya juu na kuna wengine hata hawaoti kuwa nayo. Ila humu jamvini kuna vijana wamezaliwa na kukulia hapo Upanga, Osterday na masaki na kwa kuwa kwao kuna washing machine, basi wanafikiri ndivyo ilivyo kwa Watanzania wengine.

Tiba

Na wanaojisingizia maisha safi nao pia wamo. Mtu hata sabuni ya kufulia anaomba halafu jamiiforums anahubiria luxuries
 
Kifimboplayer, that was my point. Watanzania tulio wengi hiyo kitu inaitwa washing machine ni luxury ya hali ya juu na kuna wengine hata hawaoti kuwa nayo. Ila humu jamvini kuna vijana wamezaliwa na kukulia hapo Upanga, Osterday na masaki na kwa kuwa kwao kuna washing machine, basi wanafikiri ndivyo ilivyo kwa Watanzania wengine.

Tiba
...gharama za kuzihudumia tu ni janga la tafa, umeme wa 20k unawafanya watu watukanane kwenye nyumba za kupanga, wakati umeme huo --------- kwa taa tu. Sehemu zingine hata pasi, jiko la umeme unaambiwa kabisa usivitumie...
Bado tuko ulimwengu wa tatu...watu wabishi tu.
 
1.huyo mwanamke anaasili ya uvivu
2.huyo mwanamke hana sababu za msingi za kumfanya mwnaume wake asiwe nadhifu hata kama anachoka kwani nguo zake hafui? hanyooshi? inamaana huyo mkewe na yeye yuko rafu?
3.mwanaume ukiona hivyo kwanini usichukue jukumu la wewe kufua nguo zako na kuziweka ktk hali ya usafi??.
Usafi/unadhifu huanz na mimi mwenyewe. Never expect mtu aje akubadilishe kirahisi, hard to swallow.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom