Tag haziji, Nimention pleaseNimekutag lakini
Vitu vyote vimepoteza uhalisia mpaka kwenye imani na mambo ya kiroho kote zimebaki story za majukwaani na mitandaoniZamani nilisikia neno ,"kazi ni wito", kama ualimu au uuguzi. Hizi watu walipenda na wakawa hodari....miaka ikaendaa imebaki ajira tu ndio inayotazamwa bila kujali mahaba ya fani, mwisho wa siku ni kuburuza kazi tu.
Hasa kwenye imani ndio msiba mkubwaaa...na vile watu wanapenda mambo ya msisimko sana, ujanja ujanja kila sekta,,, nilishangaa kanisa moja kulikua na uchaguzi wa uongozi [emoji46]nikaambiwa mmoja wa kiongozi hadi kwa sangoma kafika!!!! Hakuna kweli, kweli imebaki stori tuVitu vyote vimepoteza uhalisia mpaka kwenye imani na mambo ya kiroho kote zimebaki story za majukwaani na mitandaoni
Tunaishi kwenye material world...Hasa kwenye imani ndio msiba mkubwaaa...na vile watu wanapenda mambo ya msisimko sana, ujanja ujanja kila sekta,,, nilishangaa kanisa moja kulikua na uchaguzi wa uongozi [emoji46]nikaambiwa mmoja wa kiongozi hadi kwa sangoma kafika!!!! Hakuna kweli, kweli imebaki stori tu
Utu?? Siku si nyingi itakua msamiati.Tunaishi kwenye material world...
Unaangaliwa una bei gani kibindoni. ......heshima na utu siku hizi vinauzwa ni malighafi adimu haipatikani hivihivi
Kama haya mazoezi ya utambuzi na kujitambua natamani sana niwe na mwalimu ana kwa ana akinifundisha lakini tatizo kipato.