siku hizi hasalimii

siku hizi hasalimii

EL ELYON

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
1,675
Reaction score
2,115
wakuu naishi nyumba ya kupanga kuna binti wa mama mwenye nyumba alikuwa ananitupia shikamoo kila akiniona lakini baada ya wiki mbili hanisalimii na tukionana ni full kurembua nikajaribu kuuliza wadau hii nini au kuna nini wadau wakasema huyo anataka dushelele je ni kweli binti akiwa anakusalimia mara salamu ikakata basi ni dalili tosha anataka dushelele?
 
1473063_478814338902129_1238485973_n.jpg

BIG RESULT NOW
Hivi likizo ndio zishaanza vile!?
 
Kuna mambo mawili
1. Huenda amegundua haustahili ile heshima kwa sababu heshima aloitegemea kutoka kwako haipo, yaani kakuona ka'mdogo mwenzie.

2.Ni kicheche kagundua unaweza kuwa mteja wake mzuri..ndio maana anakulembulia mimacho.

Kazi kwako!
 
kakuona PUNGA kama wengine tu ndo maana hasalimii tena....

kama ww unavyotatuliwa malinda maana ww mpaka mtu akugeuze pande zote ka samaki ndo huwezi muita punga....ma.la.ya ww mla vya watu sasa hivi ni bastora tu
 
wakuu naishi nyumba ya kupanga kuna binti wa mama mwenye nyumba alikuwa ananitupia shikamoo kila akiniona lakini baada ya wiki mbili hanisalimii na tukionana ni full kurembua nikajaribu kuuliza wadau hii nini au kuna nini wadau wakasema huyo anataka dushelele je ni kweli binti akiwa anakusalimia mara salamu ikakata basi ni dalili tosha anataka dushelele?

Muulize,si unaishi naye nyumba moja?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom