Siku hizi hakuna uaminifu au unabisha?

Siku hizi hakuna uaminifu au unabisha?

Zamani mtu anazaa na jirani na mtoto analelewa alikozaliwa bila kuleta mushkeli semasiku hizi uvumilivu hakuna.
Unafikiri msemo wa kitanda hakizai haramu umetoka wapi na maana yake ni nn?
 
zamani kulikuwa na afadhali ukilinganisha na cku hz kila siku zinapoenda ndo inazid
 
Zamani mtu anazaa na jirani na mtoto analelewa alikozaliwa bila kuleta mushkeli semasiku hizi uvumilivu hakuna.
Unafikiri msemo wa kitanda hakizai haramu umetoka wapi na maana yake ni nn?

vijana wanadhani huo msemo ni mpya.
 
Si katika mapenzi wala urafiki hakuna uaminifu

Too general, uaminifu upo ila inawezekana umepungua kwa kiasi kikubwa kwa siku za usoni kwa sababu za tamaa, tabia mbaya, kutokuridhika, migogoro ya ndani ya familia, uchumi, dharau, visa, kukosa mapenzi nk au pengine tunaona kama uaminifu umepungua kwa nyakati za sasa kwa sababu ya vyombo vya habari na mitandao kuyaweka wazi mambo haya na kufanya kila kukicha tuendelee kusikia habari hizi.
 
Back
Top Bottom