Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,824
- 50,497
[emoji817][emoji817][emoji817][emoji817]Kwa miaka zaidi ya thelasini CCM imekuwa ikifanya kila iliwezalo kusiwe na chama kingine cha siasa nchini Tanzania. Lakini juhudi hizoza CCM dhidi ya vyama vingine kumbe ilitakiwa ifanywa dhidi ya CCM yenyewe.
CCM ndiyo chama pekee kilichokuwa madarakani tangu Tanganyika ipate Uhuru na Zanzibar ifanye mapinduzi. kwa ivo kila baya unaloliona linatendwa na serikali ya Tanzani jua linatendwa kwa kuwa CCM iko madarakani.
Siku CCM isipokuwa madarakani ndipo Tanzania itainuka kiuchumi, kijamii, kimataifa na kwenye kila kitu kilichokwamishwa na uovu wa CCM.
CCM ni laana, inanuka Damu kubwa sana Leo hii Zambia pesa yao Ina nguvu kuliko pesa ya South AfricaSiku CCM isipokuwa madarakani ndipo Tanzania itainuka kiuchumi, kijamii, kimataifa na kwenye kila kitu kilichokwamishwa na uovu wa CCM.
CCM ndiyo inayolididimiza taifa katika lindi la umaskini. Mchawi hapa ni CCM.Kwa miaka zaidi ya thelasini CCM imekuwa ikifanya kila iliwezalo kusiwe na chama kingine cha siasa nchini Tanzania. Lakini juhudi hizo za CCM dhidi ya vyama vingine kumbe zilitakiwa ifanywe dhidi ya CCM yenyewe.
CCM ndiyo chama pekee kilichokuwa madarakani tangu Tanganyika ipate Uhuru na Zanzibar ifanye mapinduzi. kwa ivo kila baya unaloliona linatendwa na serikali ya Tanzania jua linatendwa kwa kuwa CCM iko madarakani.
Siku CCM isipokuwa madarakani ndipo Tanzania itainuka kiuchumi, kijamii, kimataifa na kwenye kila kitu kilichokwamishwa na uovu wa CCM.
wala sio suala la kusubiri na kungoja, ni kufanya juhudi CCM iwe kama KANU ya Kenya au UNIP ya Zambia.Ngoja tuone...
Na kufa haipo na Wala hakuna anaetaka kinuke bali watu wanataka Katiba mpyaKwa miaka zaidi ya thelasini CCM imekuwa ikifanya kila iliwezalo kusiwe na chama kingine cha siasa nchini Tanzania. Lakini juhudi hizo za CCM dhidi ya vyama vingine kumbe zilitakiwa zifanywe dhidi ya CCM yenyewe.
CCM ndiyo chama pekee kilichokuwa madarakani tangu Tanganyika ipate Uhuru na Zanzibar ifanye mapinduzi. kwa ivo kila baya unaloliona linatendwa na serikali ya Tanzania jua linatendwa kwa kuwa CCM iko madarakani.
Siku CCM isipokuwa madarakani ndipo Tanzania itainuka kiuchumi, kijamii, kimataifa na kwenye kila kitu kilichokwamishwa na uovu wa CCM.
Njia za kuiua CCM zipo nyingi na mojawapo ni hiyo ya Katiba Mpya BORA inayotokana na maoni ya wananchi!!Na kufa haipo na Wala hakuna anaetaka kinuke bali watu wanataka Katiba mpya
Sio rahisi kwa sababu Katiba mpya ina kipengele cha Serikali ya Mseto kulingana na idadi ya kura yaani hakuna ile inaitwa simple majority,sasa hakuna Chama hapa Tanzania cha kuishinda ccm per say ,hakipo hata uchaguzi uwe fair kabisa.Njia za kuiua CCM zipo nyingi na mojawapo ni hiyo ya Katiba Mpya!!
umetumia mantiki gani kufikia kwenye hitimisho hili??Sio rahisi kwa sababu Katiba mpya ina kipengele cha Serikali ya Mseto kulingana na idadi ya kura yaani hakuna ile inaitwa simple majority,sasa hakuna Chama hapa Tanzania cha kuishinda ccm per say ,hakipo hata uchaguzi uwe fair kabisa.
Mantiki zipo nyingi tuu,hapa Tanzania hakuna upinzani bali wachumia tumbo kama ccm hao hao wanaoshutumiwa ndio maana walipolambishwa asali walikacha njaa huko upinzani..umetumia mantiki gani kufikia kwenye hitimisho hili??
Unaona CCM na wapinzani wanafanana lakini linapokuja suala la kushinda unaona ni LAZIMA CCM ishinde kwa kuwa ina mbinu nyingi. jee hizo "mbinu nyingi" ni halali na Katiba mpya haiwezi kuzizuia au kuziondoa?Mantiki zipo nyingi tuu,hapa Tanzania hakuna upinzani bali wachumia tumbo kama ccm hao hao wanaoshutumiwa ndio maana walipolambishwa asali walikacha njaa huko upinzani..
Pili kitanuka kiaje wakati tayari Katiba itaweka msingi wa uongozi na haki sasa wewe unasemaje kitanuka?
Mwisho CCM ina mbinu nyingi Sana za kushinda na ieleweke kwamba Katiba mpya haibadili hulka za watu Wala haitaleta ile inaitwa overhaul.
Umenena vyema, Eti Leo CCM wanataka mseto kuhofia kupotea Kwa ramani.Unaona CCM na wapinzani wanafanana lakini linapokuja suala la kushinda unaona ni LAZIMA CCM ishinde kwa kuwa ina mbinu nyingi. jee hizo "mbinu nyingi" ni halali na Katiba mpya haiwezi kuzizuia au kuziondoa?
wapinzani ni watumia tumbo. Jee CCM wao siyo watumia tumbo?
Point tupuKwa miaka zaidi ya thelasini CCM imekuwa ikifanya kila iliwezalo kusiwe na chama kingine cha siasa nchini Tanzania. Lakini juhudi hizo za CCM dhidi ya vyama vingine kumbe zilitakiwa zifanywe dhidi ya CCM yenyewe.
CCM ndiyo chama pekee kilichokuwa madarakani tangu Tanganyika ipate Uhuru na Zanzibar ifanye mapinduzi. kwa ivo kila baya unaloliona linatendwa na serikali ya Tanzania jua linatendwa kwa kuwa CCM iko madarakani.
Siku CCM isipokuwa madarakani ndipo Tanzania itainuka kiuchumi, kijamii, kimataifa na kwenye kila kitu kilichokwamishwa na uovu wa CCM.
Nafurahia sasa maana Ule ubishi wa kipumbavu wa ushindani kati ya MAMA na JIWE unayeyuka.Kwa miaka zaidi ya thelasini CCM imekuwa ikifanya kila iliwezalo kusiwe na chama kingine cha siasa nchini Tanzania. Lakini juhudi hizo za CCM dhidi ya vyama vingine kumbe zilitakiwa zifanywe dhidi ya CCM yenyewe.
CCM ndiyo chama pekee kilichokuwa madarakani tangu Tanganyika ipate Uhuru na Zanzibar ifanye mapinduzi. kwa ivo kila baya unaloliona linatendwa na serikali ya Tanzania jua linatendwa kwa kuwa CCM iko madarakani.
Siku CCM isipokuwa madarakani ndipo Tanzania itainuka kiuchumi, kijamii, kimataifa na kwenye kila kitu kilichokwamishwa na uovu wa CCM.