Siku Ben Saanane akionekana itakuwaje?

Siku Ben Saanane akionekana itakuwaje?

Igwe wana JF,

Itakuwaje siku Ben Saanane akipatikana mithili ya Nondo? Kadri wanavyopatikana wadau wa "am at high risk" kunatoa matumaini kuwa wengine ipo siku wataibuka.

Nini kitatokea Ben Saanane akiibuka mithili ya Nondo?
Acha dhihaka, "Mungu" na "Mungu wa darisalama" walimuua Ben Saanane
 
Igwe wana JF,

Itakuwaje siku Ben Saanane akipatikana mithili ya Nondo? Kadri wanavyopatikana wadau wa "am at high risk" kunatoa matumaini kuwa wengine ipo siku wataibuka.

Nini kitatokea Ben Saanane akiibuka mithili ya Nondo?
Nondo bado katekwa.
 
Ikiwa hivo ni Hatari sana
Kuna Siku nilipokuwa mdogo niliwahi kuficha kiatu cha Mwenzangu wakati nacheza Mpira ili tu kumzingua nione atakavyo chachawa

Mkubwa wetu wa Kimtaa Mtaa alikuja juu sana na akaanza Msako wa kusaka Kiatu kile na akasema atakaekutwa na kiatu kile atapewa Mkongo'oto wa Haja!

Ilibidi nipotezee nikaenda kukitupa kabisa kwa kuwa igizo langu lingenitokea Puani!

Nadhan umenielewa Mkubwa
Ikiwa hivo ni Hatari sana
 
Ni bora mumrudishe akiwa hai... Na wale waliookotwa kwenye viroba muwarudishe... Na wale watoto 1,300 aliokuwa anafuatilia taarifa zake mwandishi Azatory na wenyewe muwarudishe
 
Kuna Siku nilipokuwa mdogo niliwahi kuficha kiatu cha Mwenzangu wakati nacheza Mpira ili tu kumzingua nione atakavyo chachawa

Mkubwa wetu wa Kimtaa Mtaa alikuja juu sana na akaanza Msako wa kusaka Kiatu kile na akasema atakaekutwa na kiatu kile atapewa Mkongo'oto wa Haja!

Ilibidi nipotezee nikaenda kukitupa kabisa kwa kuwa igizo langu lingenitokea Puani!

Nadhan umenielewa Mkubwa
Kumbe ukilaza hujaanza leo aisee mapopompo wwapo wengi sana
 
Back
Top Bottom