Siku Ben Saanane akionekana itakuwaje?

Siku Ben Saanane akionekana itakuwaje?

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2016
Posts
17,505
Reaction score
16,005
Igwe wana JF,

Itakuwaje siku Ben Saanane akipatikana mithili ya Nondo? Kadri wanavyopatikana wadau wa "am at high risk" kunatoa matumaini kuwa wengine ipo siku wataibuka.

Nini kitatokea Ben Saanane akiibuka mithili ya Nondo?
 
Igwe wanaJF

Itakuwaje siku Ben Saanane akipatikana mithili ya Nondo? Kadri wanavyopayikana wadau wa "am at high risk" kunatoa matumaini kuwa wengine ipo siku wataibuka.

Nini kitatokea Ben Saanane akiibuka mithili ya Nondo?
Watasema alikuwa kaenda kumtembelea mchumba wake...

Kumtembelea mpenzi = kujiteka
Kumtembelea mchumba = kutekwa na wasijulikana.
 
Kuna Siku nilipokuwa mdogo niliwahi kuficha kiatu cha Mwenzangu wakati nacheza Mpira ili tu kumzingua nione atakavyo chachawa

Mkubwa wetu wa Kimtaa Mtaa alikuja juu sana na akaanza Msako wa kusaka Kiatu kile na akasema atakaekutwa na kiatu kile atapewa Mkongo'oto wa Haja!

Ilibidi nipotezee nikaenda kukitupa kabisa kwa kuwa igizo langu lingenitokea Puani!

Nadhan umenielewa Mkubwa
 
Watu watakimbia hovyo wakihisi mzimu make wengi wanaamini keshakufa!
 
Igwe wanaJF

Itakuwaje siku Ben Saanane akipatikana mithili ya Nondo? Kadri wanavyopayikana wadau wa "am at high risk" kunatoa matumaini kuwa wengine ipo siku wataibuka.

Nini kitatokea Ben Saanane akiibuka mithili ya Nondo?
Kama walifahamu kuwa Nondo alijiteka kwa kufuatilia mawasiliano yake na “mpenzi wake wa Iringa”, mbona wameshindwa kusema kuhusu mawasiliano ya Ben? Acheni sarakasi zenu!
 
Akipatikana kutakuwa hakuna "maandamano" tena tarehe 26/April
 
Kama walifahamu kuwa Nondo alijiteka kwa kufuatilia mawasiliano yake na “mpenzi wake wa Iringa”, mbona wameshindwa kusema kuhusu mawasiliano ya Ben? Acheni sarakasi zenu!
Hahahha huo unaitwa "uchunguzi wa kisayansi"
 
Igwe wanaJF

Itakuwaje siku Ben Saanane akipatikana mithili ya Nondo? Kadri wanavyopayikana wadau wa "am at high risk" kunatoa matumaini kuwa wengine ipo siku wataibuka.

Nini kitatokea Ben Saanane akiibuka mithili ya Nondo?
Polisi watasema uchunguzi unaonekana alijiteka
 
Kuna Siku nilipokuwa mdogo niliwahi kuficha kiatu cha Mwenzangu wakati nacheza Mpira ili tu kumzingua nione atakavyo chachawa

Mkubwa wetu wa Kimtaa Mtaa alikuja juu sana na akaanza Msako wa kusaka Kiatu kile na akasema atakaekutwa na kiatu kile atapewa Mkongo'oto wa Haja!

Ilibidi nipotezee nikaenda kukitupa kabisa kwa kuwa igizo langu lingenitokea Puani!

Nadhan umenielewa Mkubwa

Hii kitu inachekesha sana ila imagination yake katika maisha halisi inasikitisha mno
 
na Azori...
watakua walikwenda kunyonya kwa bibi zao..
Lissu naye alijipiga risasi..
na Katibu wa CHADEMA Kata Kinondoni alijipiga mapanga..
 
Kwani hamkumuuwa? Kiongozi wa malaika hakuagiza auawe kwakuhoji phd yake?
 
na Azori...
watakua walikwenda kunyonya kwa bibi zao..
Lissu naye alijipiga risasi..
na Katibu wa CHADEMA Kata Kinondoni alijipiga mapanga..

Kubenea kupitia Kipeperushi chake cha Mwanahalisi aliwahi kusema Ben Saanane katumiwa kujificha ili kumchafua Mwenyekti wa Taifa wa Chadema
 
huyu Nondo amefanya kosa LA kiufundi inaonesha bado mtoto. ila kwa jasusi Ben muda uataongea
 
Back
Top Bottom