Zinduna
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 2,378
- 3,379
Ni siku ambayo nilitolewa Balu kwenye Jukwaa la Wakubwa, nilijifanya kuleta changamoto, lakini wanaume wakawa moto, nikawashiwa moto, na hapo ndipo moto uliponiwakia.
Maana palikuwa hapatoshi, wenye maneno ya kifedhuli haya, wenye vijineno vya kufedhehesha haya, wenye madongo haya, wenye marungu twende kazi. Ilikuwa kama kumfukuza Kibaka aliyekwapua simu ya mama muuza samaki pale Ferry jijini Dar. Wakuda wakalianzisha, huyoooooo, huyooooo, mulika mwizi huyooooo huyooooo~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
Najuuuuta kulifahamu Jukwaa la Wakubwa
Maana palikuwa hapatoshi, wenye maneno ya kifedhuli haya, wenye vijineno vya kufedhehesha haya, wenye madongo haya, wenye marungu twende kazi. Ilikuwa kama kumfukuza Kibaka aliyekwapua simu ya mama muuza samaki pale Ferry jijini Dar. Wakuda wakalianzisha, huyoooooo, huyooooo, mulika mwizi huyooooo huyooooo~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
Najuuuuta kulifahamu Jukwaa la Wakubwa