walikuyu
JF-Expert Member
- Jul 27, 2018
- 572
- 1,188
Wakuu habari za usiku!
Twende kwenye mada moja kwa moja, kitambo hicho nakumbuka nilikuwa na washikaji enzi hizo sipendi shule kabisa nilikuwa toto tundu aswaa. Nakumbuka iyo siku tulikuwa tupo kwenye mwembe mkubwa sana na watoto wenzangu tunacheza mchezo wa kidari kwa wale ndugu zangu mtakuwa mmenielewa sana, basi bhana kwenye ruka ruka dah huwez amini mb*oo ilichanika kwa juu karibu na msitu eh bhana jeraha lilikuwa ni kubwa sana.
Basi ilikuwa mida ya jioni nikarudi home kimya kmya bukta yote midamu nikawa nalia sana nikasema leo ndio basi tena abdallah kichwa wazi afanyi kazi tena, mungu si Athuman siku zikazidi kwenda mashine ikawa inaunga taratibu basi mpaka sasa nmekuwa mkubwa ni mwendo wa mikwaju tu kwa akina amina.
Najua wakulungwa na nyie mna visa vyenu embu leteni hapa jukwaani tukumbushane kidogo kitambo hicho
Twende kwenye mada moja kwa moja, kitambo hicho nakumbuka nilikuwa na washikaji enzi hizo sipendi shule kabisa nilikuwa toto tundu aswaa. Nakumbuka iyo siku tulikuwa tupo kwenye mwembe mkubwa sana na watoto wenzangu tunacheza mchezo wa kidari kwa wale ndugu zangu mtakuwa mmenielewa sana, basi bhana kwenye ruka ruka dah huwez amini mb*oo ilichanika kwa juu karibu na msitu eh bhana jeraha lilikuwa ni kubwa sana.
Basi ilikuwa mida ya jioni nikarudi home kimya kmya bukta yote midamu nikawa nalia sana nikasema leo ndio basi tena abdallah kichwa wazi afanyi kazi tena, mungu si Athuman siku zikazidi kwenda mashine ikawa inaunga taratibu basi mpaka sasa nmekuwa mkubwa ni mwendo wa mikwaju tu kwa akina amina.
Najua wakulungwa na nyie mna visa vyenu embu leteni hapa jukwaani tukumbushane kidogo kitambo hicho