siku 7 za CHADEMA kwa Nape

Hawa wanasiasa siyo wa kuwaamini sana. Huyo Mnyika na Nape kuna siku niliwakuta kwenye mgahawa mmoja hivi katikati ya jiji wakipiga kitu cha juisi ya matikiti huku wakicheeeeeka unaweza kusema ni mtu na shemeji yake. Narudia wanasiasa siyo watu wa kuwasikiliza hata kidogo. Watu wengine bwana.

Hahaha siasa sio kama unavofikiria...urafiki upo tena sanaaa ni tofauti za kihitikadi tuu
 
Hawa wanasiasa siyo wa kuwaamini sana. Huyo Mnyika na Nape kuna siku niliwakuta kwenye mgahawa mmoja hivi katikati ya jiji wakipiga kitu cha juisi ya matikiti huku wakicheeeeeka unaweza kusema ni mtu na shemeji yake. Narudia wanasiasa siyo watu wa kuwasikiliza hata kidogo. Watu wengine bwana.

Unajuwa ni watu wangapi waliomchekea Gaddafi?tena na mafuta wakawa wanachota Libya,si ndo hao hao walimwondoa?Kina Sarkozy?so ni kweli wanasiasa wanachekeana,na kuna wakati siyo hivyo hata kidogo,panua kidogo mawazo yako,siyo kupanua tu vitu vingine,unakuwa kama mtoto wa miaka 12 na wakati inawezekana ni mmama mkubwa kabisa.
 
Sina uakika wa jambo ili kama litafika mbali, maana hata Ulimboka bado anapunzika siku akimaliza mapunziko yake atatuambia kipi kilicho msibu
 
Nape alikwisha waambia mtu mzima hatiishiwi nyau. Aliwambia mtangulie mahakamani. Sasa mnangoja nini mpaka mtuambie mnakamilisha taratibu! Nendeni mahakamani mkaumbuliwe. Siasa inaamuliwe na public opinion siyo mahakamani. Ninyi mlisema CCM imeingiza silaha kisha kinara wenu wa uongo dr Slaa akasema kuna pistol moja. Sasa Chama mikubwa Kama CCM linaweza je kuingiza pistol moja. Aibu
 
Hawa wanasiasa siyo wa kuwaamini sana. Huyo Mnyika na Nape kuna siku niliwakuta kwenye mgahawa mmoja hivi katikati ya jiji wakipiga kitu cha juisi ya matikiti huku wakicheeeeeka unaweza kusema ni mtu na shemeji yake. Narudia wanasiasa siyo watu wa kuwasikiliza hata kidogo. Watu wengine bwana.


Sasa wewe unataka wachukiane? Mawazo haya ndiyo yanayofanya hata polisi waue watu. Wakidhani upinzani ni uadui. Ni tofauti za kimtizamo tu, yaani jinsi ya kuendesha mambo. Hawa wanaona hivi na wale wale vile. Tunaweza kunywa chai na hata kuona kutoka itikadi tofauti.
 
Hawa wanasiasa siyo wa kuwaamini sana. Huyo Mnyika na Nape kuna siku niliwakuta kwenye mgahawa mmoja hivi katikati ya jiji wakipiga kitu cha juisi ya matikiti huku wakicheeeeeka unaweza kusema ni mtu na shemeji yake. Narudia wanasiasa siyo watu wa kuwasikiliza hata kidogo. Watu wengine bwana.
kwani uliambiwa siasa ni ugomvi?
 
Hawa wanasiasa siyo wa kuwaamini sana. Huyo Mnyika na Nape kuna siku niliwakuta kwenye mgahawa mmoja hivi katikati ya jiji wakipiga kitu cha juisi ya matikiti huku wakicheeeeeka unaweza kusema ni mtu na shemeji yake. Narudia wanasiasa siyo watu wa kuwasikiliza hata kidogo. Watu wengine bwana.

Hizi ndio siasa za kistaarabu na kuvumiliana unataka uwakute mitaani wanatukanana au wanapigana kuna mambo mengine ya msingi wanasiasa wanakubaliana na mengine wanapingana,na wewe ungejiunga nao au ulikuwa "kazini"
 
Hawa wanasiasa siyo wa kuwaamini sana. Huyo Mnyika na Nape kuna siku niliwakuta kwenye mgahawa mmoja hivi katikati ya jiji wakipiga kitu cha juisi ya matikiti huku wakicheeeeeka unaweza kusema ni mtu na shemeji yake. Narudia wanasiasa siyo watu wa kuwasikiliza hata kidogo. Watu wengine bwana.

bado nna mashaka na jinsi tunavyo tafsiri upinzani, upinzani sio uadui wajameni, hata watu wanaochangia katika forum hii bado hawajui je mwanachi wa kawaida atatofautisha vipi
mnaweza kuwa chama tofauti lakini wakati social activities mnaweza kuiwa wote

nilishawai kuishi katika nchi mojawapo ya ulaya utakuta waziri mkuu ana chama tofauti kabisaa na raisi wake na wanafanyakazi vizuri kabisaa, kwa kuwa kila mtu anajali maslahi taifa na sio chama,
 
mm hata wasipompeleka nape mahakamani sioni shida, wamwambie ataje hizo fedha chafu zimetoka wapi
 
Back
Top Bottom