Siku 21 za maombolezo ni nyingi mno

Siku 21 za maombolezo ni nyingi mno

Siku tatu sio mbaya
Hata Jesus alipofufuka siku ya tatu aliwakuta wanafunzi wake wamejikunyata kwa majonzi hawajui wafanye nini - akawaambia sasa ni muda sasa wao kuanza kazi ya kuhubiri injili duniani kote!! Mbona hakuwaambia waendelee kuomboleza hadi 21 days!!
 
Hata Jesus alipofufuka siku ya tatu aliwakuta wanafunzi wake wamejikunyata kwa majonzi hawajui wafanye nini - akawaambia sasa ni muda sasa wao kuanza kazi ya kuhubiri injili duniani kote!! Mbona hakuwaambia waendelee kuomboleza hadi 21 days!!
Siku 21 ni nyingi sana sana anatakiwa baada ya kuzikwa tu kusiwe na ratiba nyingine zibaki za familia tu!
 
Siku 21 zipo kikatiba, bendera zinapepea nusu mlingoti....au unadhani hizo siku 21 serikali itakuwa imehamia chato kuweka matanga?
 
Nakumbuka baba wa wa taifa mwalimu Nyerere

Baba wa Taifa mwalimu Nyerere,tukiomboleza kwa siku 30 yaani mwezi mmoja kamili,wewe hukuona kuwa mwezi ni mkubwa mno,Leo hii kwa sababu anayeombolezewa sio wako unaona siku 21 zinakuwa nyingi kuliko mwezi?Kweli?
 
Tukiomboleza sisi tunaoomboleza kuna kitu unapoteza???
Na je, kuna huduma yoyote umekosa sababu tunaomboleza???

Au ni wivu tuu[emoji849][emoji849]

Kama ni wivu basi na wewe kufa tukuombolezee
Hatupigi miziki kwa sauti kubwa majumbani haswa huku uswazi kwangu, lakini pia ukichinja kuku wako ukamkaanga ukala unakula barazani kwako huku unashushia na mbege unakamatwa eti unafanya hivyo kwa furaha gani!?wtf
 
Tukiomboleza sisi tunaoomboleza kuna kitu unapoteza???
Na je, kuna huduma yoyote umekosa sababu tunaomboleza???

Au ni wivu tuu[emoji849][emoji849]

Kama ni wivu basi na wewe kufa tukuombolezee
Mkuu hapa kwenye huduma ulifikiri vizuri! Sisi watu wa burudani tumeambiwa marufuku club mpaka siku hizo, sijui hata lama league yetu pendwa Bongo kama inaendelea. Haya ni madhara ya wazi ya siku 21.
 
Hatupigi miziki kwa sauti kubwa majumbani haswa huku uswazi kwangu, lakini pia ukichinja kuku wako ukamkaanga ukala unakula barazani kwako huku unashushia na mbege unakamatwa eti unafanya hivyo kwa furaha gani!?wtf
Uongo nao ni dhambi
 
Mkuu hapa kwenye huduma ulifikiri vizuri! Sisi watu wa burudani tumeambiwa marufuku club mpaka siku hizo, sijui hata lama league yetu pendwa Bongo kama inaendelea. Haya ni madhara ya wazi ya siku 21.

Unatafuta sababu tuu huna lolote jipya
 
Hata Jesus alipofufuka siku ya tatu aliwakuta wanafunzi wake wamejikunyata kwa majonzi hawajui wafanye nini - akawaambia sasa ni muda sasa wao kuanza kazi ya kuhubiri injili duniani kote!! Mbona hakuwaambia waendelee kuomboleza hadi 21 days!!
Kwani siku 21 aliasisi Nani? Nadhani haihusiani na mfano wa Yesu maana yeye iliandikwa atafufuka ila wanafunzi hawakusadiki ndo maana walijikunyata.
 
Nakumbuka baba wa wa taifa mwalimu Nyerere

Baba wa Taifa mwalimu Nyerere,tukiomboleza kwa siku 30 yaani mwezi mmoja kamili,wewe hukuona kuwa mwezi ni mkubwa mno,Leo hii kwa sababu anayeombolezewa sio wako unaona siku 21 zinakuwa nyingi kuliko mwezi?Kweli?
Labda alikuwa mtoto mchanga haelewi lolote.
 
😂😂😂😂[=" Kunta, post: 38505235, member: 217334"]
Mkuu mataga watajitokeza kutaka mabadiliko ya maombolezo ya Magufuli yaongezewe muda
[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom