Siko Free nashindwa kulala na Mpenzi wangu mpaka asubuhi kwasababu naogopa kujamba.

Duh nimecheka sana..... Anatoa kichwa nje ya shuka kama Kobe

Thanx JF members. Kwa kweli sijapata cheka kwa takriba siku 5 hivi. Salute kwa uwepo wenu na nimecheka sana kwa uzi huu wa vijampo. Wa kwangu anatoa vile vya kimya kimya na vinanuka ile baya na ni lazima utatoa kichwa nje hata ufanyeje na ninaona ni bora ya sauti ya mabomu.
 
yani nmecheka hd machozi yamenitoka....kweli jf is never borin

Pamoja uhuru wa kupumua pia hitaji la afya kujampa; basi mfikirie mpenzi wako tokana na ukali wa harufu ndani ya shuka kwa kupenyua shuka kidogo na uachie mabomu na kwa yule asiyejitambua usingizini anaruhusiwa kuendelea na hayo mabomu ya maangamizi ya mfumo wa upumuaji. Kwetu tuna usemi usemao "hauongi mpaka ushue"
 
mkuu umejuaje ukilala huwa unajamba, unafanya makusudi wewe au unajirekodigi unafunga kidaka sauti makalioni
 
mkuu umejuaje ukilala huwa unajamba, unafanya makusudi wewe au unajirekodigi unafunga kidaka sauti makalioni

Hii mupya kwakweli.... Piga mlipuko record sauti yake kisha weka mulio ya simu inapoita. So funny....
 
usiku mwingine tena, nimecheka kwanguvu kama mchawi, after reading huu uzi
 
Nadhani hata yeye hayuko huru coz kuna siku nilijitahidi nikalala naye huwa analala kwa kuotea hana amani sana nikifumbua macho naye anafumbua kuonyesha hayuko huru sana nadhani na yeye anaogopa kuachia,mi huwa najitahidi nikeshe ila nazidiwa ukiona nimelala nimepitiwa tu bt nikistuka huwa naogopa sana nisije nikawa nimeachia.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Subirini muda wa ndoa kwenu haujawadia!
 
Mi nahisi hiyo sound clip Yale itakuwa kama ile ya radio Tanzania miaka hiyo .pindi inapotimu SAA mbili usiku
 
Back
Top Bottom