Wasanii wanatakiwa kuelewa umuhimu wa kuwa na meneja anaelijua soko la muziki hapa tz na nje.
Diamond atakuwa na maneja mzuri anaejua kazi yake vizuri.
Dimpoz ana video mpya imeanza kupigwa jana Mtv Base ingia Millardayo.com
Wasanii wanatakiwa kuelewa umuhimu wa kuwa na meneja anaelijua soko la muziki hapa tz na nje.
Diamond atakuwa na maneja mzuri anaejua kazi yake vizuri.
ya nyimbo ipi?
ya nyimbo ipi?
Inaitwa NDAGUSHIMA kaifanyia UK na yule MODEL WA KIDHUNGU, Video nzuri lkn mwisho Kaharibu kajaza wahuni wenzake wa kinondoni wanadance tu, NYIMBO Yenyewe Ushuzi mtupu, auna mvuto wala Ladha , Bora NARUDI KIJIJINI YA Best Nasso..
kuna video mpya ya alli kiba kasirikishwa nyimbo inaitwa uaminifu...nyimbo nzuri but alivyovaa alli kiba kwenye video aibu tupu
kuna video mpya ya alli kiba kasirikishwa nyimbo inaitwa uaminifu...nyimbo nzuri but alivyovaa alli kiba kwenye video aibu tupu
ishu si tu meneja ni kutumia tu akili utvaaje nguo za ovyo ovyo kwenye video yako?