zaratustra
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 848
- 223
Wakuu, mimi ni mpenzi sana wa bendi zetu hizi kongwe hapa Bongo, kwa bahati mbaya sana jana nilishindwa kwenda kuushuhudia mtanange wao pale Diamond Jubilee. Kama kuna waliopata kuhudhuria mtanange wa jana, basi watujuze, mambo yalikuwaje pale? Natanguliza shukrani!