Sikiliza PDF files badala ya kusoma!!!

Kuna mwimbo Michael alisema Kama tutakaa pamoja na kufanya mambo yetu kwa umoja basi hakuna litakalotushinda so nami ninaamini ipo siku na sisi tutakaa pamoja na kufanya mambo mengi ya maana.
Tusisite ushare kila tulijualo kwani hata kamstari kako kamoja kanaweza kwa na msaada kwa watu ma nne,Tatizo letu wengi ni kuwa ni wachoyo wa elimu.


Kwa mada na elimu kuhusu mambo ya ICT tembelea Afroit Forums

Vipi kwenye simu?
 
Back
Top Bottom